Hawa G8 ni wasanii tupu
Anza na CHINA na USA
Huku wananchi na watoto wanauliwa ovyo, demokrasia hakuna then wanajifanya kuja TAnzania
Wananchi tuungane, vinginevyo tutazidi kuwa masikini na kuuawa kwa faida ya ukoloni mamboleo
Haki za Binadamu na Demokrasia kwanza, misaada ya kinafiki baadae... Kwani wewe unashindwa kununua net ya Mbuu?
Haya, hizo Uranium, Gold, Tanzanite na gas wanaiba, hatuwezi kujenga barabara....
Tafakari, amka Mtanzania
Anza na CHINA na USA
Huku wananchi na watoto wanauliwa ovyo, demokrasia hakuna then wanajifanya kuja TAnzania
Wananchi tuungane, vinginevyo tutazidi kuwa masikini na kuuawa kwa faida ya ukoloni mamboleo
Haki za Binadamu na Demokrasia kwanza, misaada ya kinafiki baadae... Kwani wewe unashindwa kununua net ya Mbuu?
Haya, hizo Uranium, Gold, Tanzanite na gas wanaiba, hatuwezi kujenga barabara....
Tafakari, amka Mtanzania