Hatua zipi za kufuata ili kubadili shule?

mwamini sr

Member
May 30, 2016
27
2
Habari wa JF.Naombeni kuuliza ni hatua gni za kufata ili kubadili shule maana mimi nimechaguliwa PCM nina 1.13 nahitaji kwenda KISIMIRI
 
Duuh.. na katika kuomba huko unakotak kwenda wanaangalia vigezo gani au kuna kutofautiana
 
Back
Top Bottom