MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Hapa Ben huenda akawa umeuvaa mkenge. Ila nimemtahadharisha ajaribu kumconsult kamanda Lissu! Ningeweza kukupa mfano wa kuprint screen na kuipaste hapa lakini inagoma. Ila umenipata. Good idea kwa JF ingawa huenda ikawa ngumu to implement.
Rusha PM kwa Invisible for the implementation.thanks! ndio maana ya JF pamoja tutashinda.