Hatua za kuunda kampuni hizi hapa, miliki kampuni sasa

Ofisi gani ya mwanasheria anaweza nigongea mihuri hapa mnazi mmoja ?
 
Sasa hata umeshindwa kusema huo ni utaratibu wa wazawa au wageni? Je, wageni wakitaka kufungua kampuni watumie njia zipi na utaratibu gani? Msitoe elimu nusu nusu na za kawaida kabisaa mkajua mmetoa maarifa makubwa.
 
Back
Top Bottom