kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,514
- 7,909
Sisi wote hua kuna mda tunakaa na kuskiliza muziki,,either ukiwa umechil tu au upo zako unakimbia..au any time tu
Lakini wengine pia hua tuna angalia zetu moviez kweny smartphone zetu.
Sasa kuna kitu kinaitwa Dolby Digital sorround Technology,technology inayoweza fanya uskivu wa mziki kweny next level kabisa.
Sasa technology hii kwa sasa inapatkana kweny Simu pia...Kuna simu ambazo zinakuja na hii features kutoka kiwandani eg samsung s 9,huawei p20 pro na zingine
Sasa developers wameweza ku port Dolby Atmos kutoka kweny Lenovo A 7000 na kuja kupiga kazi kweny simu zingine za android.
JINSI YA KU INSTALL DOLBY ATMOS
1.
kwanza unatakiwa uwe umeroot simu yako
2. Uwe ume install Custom revovery..eg TWRP
3.uwe na dolby atmos zip
Sasa ukishakua na hizo requirements hapo juu basi
Boot simu yako kweny recovery mode,twrp ndio iko recommended
Kisha nenda kweny install zip,then utainstall dolby atmos zip ambayo nitaiweka hapa chini
Kisha reboot simu yako baada ya kuinstall hiyo zip
Baada ya kuwaka,basi utaikuta app ya Dolby,itumie hiyo kuset mzik na kuenjoy sorrounding..Kupata clean sound jarbu ku tweak kidgo vile utavotaka
Nashauri pia kua na headphone/earphone nzuri ili kuenjoy effects.
Player pia tumia Google music inaingiliana vizur za Dolby..make sure una disable systeam Equalizer ,ili itumike ile ya Dolby Atmos.
Enjoy
View attachment Dolby Atmos (0).zip
Lakini wengine pia hua tuna angalia zetu moviez kweny smartphone zetu.
Sasa kuna kitu kinaitwa Dolby Digital sorround Technology,technology inayoweza fanya uskivu wa mziki kweny next level kabisa.
Sasa technology hii kwa sasa inapatkana kweny Simu pia...Kuna simu ambazo zinakuja na hii features kutoka kiwandani eg samsung s 9,huawei p20 pro na zingine
Sasa developers wameweza ku port Dolby Atmos kutoka kweny Lenovo A 7000 na kuja kupiga kazi kweny simu zingine za android.
JINSI YA KU INSTALL DOLBY ATMOS
1.
kwanza unatakiwa uwe umeroot simu yako
2. Uwe ume install Custom revovery..eg TWRP
3.uwe na dolby atmos zip
Sasa ukishakua na hizo requirements hapo juu basi
Boot simu yako kweny recovery mode,twrp ndio iko recommended
Kisha nenda kweny install zip,then utainstall dolby atmos zip ambayo nitaiweka hapa chini
Kisha reboot simu yako baada ya kuinstall hiyo zip
Baada ya kuwaka,basi utaikuta app ya Dolby,itumie hiyo kuset mzik na kuenjoy sorrounding..Kupata clean sound jarbu ku tweak kidgo vile utavotaka
Nashauri pia kua na headphone/earphone nzuri ili kuenjoy effects.
Player pia tumia Google music inaingiliana vizur za Dolby..make sure una disable systeam Equalizer ,ili itumike ile ya Dolby Atmos.
Enjoy
View attachment Dolby Atmos (0).zip