Walioko Ngara au mwanza, Mbunge wa Ngara amesema nini? Au hayamhusu?
Yes
Keep watching ,tupo njiani kupata taarifa hii kwa ukweli,punde mnaweza kuona hata video hapa hapa.
belived watu 6 wameuawa katiika rabsha hizo.
tunakwenda kwa siri sana unajua hapa kagera kuna maeneo ni HATARI SANA kwa sisi kama waandishi kufika na kupiga picha nk
Subiri tu.
Kila pembe ya Tanzania sasa kuna migogoro ya ardhi,si dar,mara,manyara,arusha,kagera n.k,tutarajie makubwa zaidi na hasahasa madhara!