Martine Tibe
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 221
- 156
Inategemea na mmependana vp
Maana ya neno huweza kubadilika kulingana na matumizi ya wakati husika. Ni sawa lina maana hiyo, lakini pia kwa sasa linatumika kumaanisha kitu tofauti. Ila kwakuwa our brains huwa Negative biased, najua haitakua rahisi kuifikiri maana ya sasa isipokua itafikiriwa maana ya zamani.Umesoma maana ya baharia lakini hapo juu mlevi??
Hizo ni propaganda tu nazani wanateseka watu kujiita mabahariaUmesoma maana ya baharia lakini hapo juu mlevi??
Kidumu chama cha mabahariaHizo ni step za wanaume wa dar sio sisi wanaume halisi mabaharia
Kidumu chama cha mabaharia
Piiiipiiii umenitema?Umesoma maana ya baharia lakini hapo juu mlevi??
mh, umeongea kweli tupu hapa......yalinikuta hayo, mwanzoni sikuwa namfikiria wala kujali lakini kadiri muda ulivyoenda naye kumpata mwingine nikageuka kuwa kama mtumwa hivi......nikawa najikuta namfuatilia kwa sana yaani kujua maendeleo yao tu na nikisikia wamepiga hatua basi kawivu fulani kalikuwa kananishika. ilinisumbua miezi kadhaa kwakweli na mpaka leo bado hiyo hali hunitokea lakini hainisumbui sana. ilifikia wakati najenga picha kabisa ya anachomfanyia huko chumbani....ni shida kwakweli!!!We women hurt so deep and we crash so fast.... but we recover in no time.
Ila ndugu zetu sasa mwanzoni wanajifanya wagumu, as we heal wao ndo wana sink sasa.
Kwanza ulikuwa wapii???😡Piiiipiiii umenitema?
Kwanza ulikuwa wapii???
Sikuiona hiyo tag jomoniii piipii wangu😘😘Nilikuwepo tu, baada ya wimbi la wanaume wa dar kuwazuzua wanawake, nikaona mwanamme wa mkoani ngoja nipishe upepo huo. Maana PM umepiga kufuri hata busu lazima nitoe public, mwanaume wa mkoani yakanishinda. Fungua PM nikupe ubuyu wa siku mbili tatu zilizopita. I am sorry for kwa kuwa silent pipiiii wangu
Kunasiku nilikutag ukanichunia nikasema hapa sha pigwa chini
Mother Confessor
Pipi wangu, please ni Pm Please I wana talk to you. This is not good.Sikuiona hiyo tag jomoniii piipii wangu
Nimesoma comments nikaishia kutabasamu. Me wengi humu wanajifanya hawana cha kupoteza kwenye mapenzi and yet ndio nyuzi zao za kulialia na comments za maumivu zimejaa humu ndani.
Anyway, nawatakia healing ya haraka. Amen.