Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
Bado naendelea kutafuta mambo ya vichaa/wenye matatizo ya akili na ndugu zao
Leo ningependa kujua kutoka kwa wanajamii wote au watu specific waliowahi kuuguza mtu mwenye kichaa...
Unadhani utaona imefikia hali gani ya mgonjwa ndio utatafuta msaada?
Msaada huo utautafuta wapi? kwa wachungaji/Mashekhe ?, Kwa waganga ???, ama Hospitali zinazotibu magonjwa hayo?
Karibuni.
Bado naendelea kutafuta mambo ya vichaa/wenye matatizo ya akili na ndugu zao
Leo ningependa kujua kutoka kwa wanajamii wote au watu specific waliowahi kuuguza mtu mwenye kichaa...
Unadhani utaona imefikia hali gani ya mgonjwa ndio utatafuta msaada?
Msaada huo utautafuta wapi? kwa wachungaji/Mashekhe ?, Kwa waganga ???, ama Hospitali zinazotibu magonjwa hayo?
Karibuni.