bro sio kama umedisiwa ila unawekwa sawa hicho ulichoweka sio website ambayo ina kuuingizia pesa bali content ya ulichokiweka ndo kinachokuingizia pesa. je unajua njia zinazofanya uingize pesa kupitia website?
Inaonekana hujasoma vizuri hiyo nakala au hujaelewa, mimi nimeonesha hatua za kutengeneza website yenye thamani kubwa, nia ni kusaidia watu wanaoshughulika na masuala ya kufanya web design, kujua namna ambavyo wanaweza kutengeneza website ambazo wanaweza kumchaji mteja kwa gharama ya juu zaidi, bila kikwazo.

Somo langu halijahusisha suala la kupata fedha kupitia website, tafadhali soma vizuri ndugu.
 
Mbona heading na content ni vitu viwili tofauti au mimi ndo hazipandi!
Inawezekana kinachoongelewa hukifahamu kabisa, soma vizuri utaelewa. Ila somo linawahusu Website Designers wanaotamani kuuza Websites kwa Gharama za juu zaidi.
 
hizo watu wanasoma chuo zinaitwa software development life cycle na zipo more details. ..
 
Umezungumz vyema ila kwa sisi ambao bado hatuelew kitu aisee
Kwa mfano
Kuanz kutumia figma, hizo design tools
Ne unayakusanya vip mafaili??
Me nachokumbk ukiend kucreat website kwa online WordPress wao ndio wanaokupa templates
Sasa hii unaiingiz vp?
 
Umezungumz vyema ila kwa sisi ambao bado hatuelew kitu aisee
Kwa mfano
Kuanz kutumia figma, hizo design tools
Ne unayakusanya vip mafaili??
Me nachokumbk ukiend kucreat website kwa online WordPress wao ndio wanaokupa templates
Sasa hii unaiingiz vp?

Kwa kweli, nkisema nielezee kila kitu kwa undani zaidi, itabidi niandike kitabu kabisa maana , vitu ni vingi mno ... unachohitaji ni kujifunza mwenyewe zaidi, mimi nmejaribu kutoa mwangaza tu. Lakini ntakujibu kwa ufupi ...

Kwenye Figma Kuna Option ya ku-export files kama icon na images ulizotumia unaweza kutoa kabisa.

Na Wordpress wengi hudhani kwamba njia pekee ya kutengeneza website ni kwa kutumia template tu hapana, unauwezo wa kutengeneza website kwenye Wordpress kwa namna yeyote ile mpaka code, ila mimi natumiaga Page builder inayoitwa Elementor.

Kwa kutumia Elementor nna uwezo wa kutengezea almost kitu chochote ntakachodesign kwenye figma, bila kutumia code kabisa, bali kuna technology ya drag and drop ambayo ndio inafanya kazi yote hiyo.

So, unaweza kujifunza kupitia Youtube kuhusu Elementor na Figma kwa undani zaidi I hope utafanikiwa tu.
 
Nimechopenda kutoka kwa Erick na nimeingia kwenye website yake anakuweka wazi mteja kwamba natumia WordPress katika kuijenga website yako.
 
Back
Top Bottom