Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,625
Kama unampenda na haupendi kumpoteza, then utakachofanya ni kuchunguza bila yeye kujua,ili ufahamu ni kitu gani anachokwenda kutafuta huko nje ambacho wewe haumpatii.
Kama ukikijua then keti nae umuelezee why unashindwa kumpatia na mfanye nini kushirikiana kukipata.
Kama kipo nje ya uwezo wako kumpa (mfano kwa mwanamke kutokuwa na tako) then mshawishi aone uzuri wako eneo jingine kuhusu wewe.
Lakini pia kama ni swala la tamaa tu then ni swala la kiroho na kisaikolojia, viongozi wa imani na wataalam wa maswala ya afya wanaweza kuwa msaada sana eneo hilo.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kama ukikijua then keti nae umuelezee why unashindwa kumpatia na mfanye nini kushirikiana kukipata.
Kama kipo nje ya uwezo wako kumpa (mfano kwa mwanamke kutokuwa na tako) then mshawishi aone uzuri wako eneo jingine kuhusu wewe.
Lakini pia kama ni swala la tamaa tu then ni swala la kiroho na kisaikolojia, viongozi wa imani na wataalam wa maswala ya afya wanaweza kuwa msaada sana eneo hilo.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app