Peasant educator
JF-Expert Member
- Mar 13, 2020
- 209
- 187
Salam wadau,
Nataka kufahamu hatua za kuchukua ukiona hakimu hatendi haki au anachelewesha hukumu kwa makusudi (kutoa ruling ya shauri mahakamani). Kuna hatua zozote za kufata au kureport au ndo hakimu (judge) analindwa na katiba hata kama anafanya kazi kinyume na maadili ya kazi yake either kwa kula rushwa au/na kushinikizwa na kiongozi wa Serekali?
Naomba mchango wenu, nawasilisha.
Nataka kufahamu hatua za kuchukua ukiona hakimu hatendi haki au anachelewesha hukumu kwa makusudi (kutoa ruling ya shauri mahakamani). Kuna hatua zozote za kufata au kureport au ndo hakimu (judge) analindwa na katiba hata kama anafanya kazi kinyume na maadili ya kazi yake either kwa kula rushwa au/na kushinikizwa na kiongozi wa Serekali?
Naomba mchango wenu, nawasilisha.