Hatua gani naweza kumchukulia mpiga picha aliyesambaza video mtandaoni bila ridhaa ya aliyempa kazi??

Status
Not open for further replies.

Khlala

Senior Member
Dec 21, 2012
170
118
Wasalaam

Naombeni msaada wa kisheria kwa namna gani naweza kumchukulia hatua cameran ambaye amepatiwa kazi ya kupiga picha na video kwenye tukio la harusi/sendoff lakini akakiuka maadili kwa kusambaza mitandaoni baadhi ya matukio yaliojiri ambayo hayakuwa ya kawaida (unintentional scenario) bila ridhaa ya mhusika hali inayosababisha msononeko wa mawazo kwa familia ya mtendwa.

Iko hivi, siku ya tarehe 2/12/2021 kulikuwa na tukio la send off kumuaga dada yetu. Sasa wakati wa kumkabidhi alichaguliwa kaka yetu kwa ajili ya kufanya tukio hilo la kumkabidhi binti kwa waoaji. Kutokana na tukio la hivi karibuni la kufiwa na shangazi yetu na pia mama yake na kijana anayeoa amefariki na kuzikwa jumapili ya wiki iliyopita (28/11/2021) hivyo bado hali ya huzuni ilikuwepo hali ambayo inaweza ikawa ilichangia mnenaji kujitambulisha kama kaka wa marehemu badala ya kaka wa bibi harusi.

Baada ya tukio lile hali iliwekwa sawa kwa kulitolea ufafanuzi na hadhira yote ilielewa kilichotokea na ikapita.

Lakini katika hali ya kusikitisha mpiga picha alienda studio na kutengeneza clip ambayo imesambaa dunia nzima hali ambayo imeleta taharuki hasa kwa familia na bibi harusi ambaye ndo tu ametoka kufunga ndoa yake.

Sasa basi mimi kama mmoja wa wanafamilia ambao tumeguswa na hili tunaomba mchango wa mawazo hasa ni kwa namna gani tunaweza kumshughulikia mtu huyu ambaye ametengeneza clip na kuisambaza bila ridhaa ya wahusika.

Mwenyewe amekiri kufanya hivyo na pia clip ina nembo/jina la biashara ya wapiga picha.

Naomba kuwasilisha
 
Kama kamesha sambaa tyr siutuwekee na sisi tusikie japo sauti tu

anyway fika kituo chochote cha polisi kilicho karibu yako kisha waeleze ukiwa na ushahidi na mtuhumiwa atashughulikiwa
 
Hiki kitu mm mwenyewe nataka kufahamu Legally inakuwaje bora umesaidia ndugu, iko hivi

Mwanamziki wa Tz karecord video ya watu na kuwaweka kwenye music video yake bila ya ridhaa ya wahusika, sasa wahusika wanapigiwa simu mara kwa mara na ndg pamoja na jamaa wanaambiwa wameonekana kwenye video na hao hawapendi hilo maana wanataka privacy hicho kitendo kina wakera.
kwahiyo kuna Legal ground yeyote hapo?
 
Wasalaam

Naombeni msaada wa kisheria kwa namna gani naweza kumchukulia hatua cameran ambaye amepatiwa kazi ya kupiga picha na video kwenye tukio la harusi/sendoff lakini akakiuka maadili kwa kusambaza mitandaoni baadhi ya matukio yaliojiri ambayo hayakuwa ya kawaida (unintentional scenario) bila ridhaa ya mhusika hali inayosababisha msononeko wa mawazo kwa familia ya mtendwa.

Iko hivi, siku ya tarehe 2/12/2021 kulikuwa na tukio la send off kumuaga dada yetu. Sasa wakati wa kumkabidhi alichaguliwa kaka yetu kwa ajili ya kufanya tukio hilo la kumkabidhi binti kwa waoaji. Kutokana na tukio la hivi karibuni la kufiwa na shangazi yetu na pia mama yake na kijana anayeoa amefariki na kuzikwa jumapili ya wiki iliyopita (28/11/2021) hivyo bado hali ya huzuni ilikuwepo hali ambayo inaweza ikawa ilichangia mnenaji kujitambulisha kama kaka wa marehemu badala ya kaka wa bibi harusi.

Baada ya tukio lile hali iliwekwa sawa kwa kulitolea ufafanuzi na hadhira yote ilielewa kilichotokea na ikapita.

Lakini katika hali ya kusikitisha mpiga picha alienda studio na kutengeneza clip ambayo imesambaa dunia nzima hali ambayo imeleta taharuki hasa kwa familia na bibi harusi ambaye ndo tu ametoka kufunga ndoa yake.

Sasa basi mimi kama mmoja wa wanafamilia ambao tumeguswa na hili tunaomba mchango wa mawazo hasa ni kwa namna gani tunaweza kumshughulikia mtu huyu ambaye ametengeneza clip na kuisambaza bila ridhaa ya wahusika.

Mwenyewe amekiri kufanya hivyo na pia clip ina nembo/jina la biashara ya wapiga picha.

Naomba kuwasilisha
Kwanza lzm ujiulize kuwa je copy right ya hizo video na picha ni za nani ?

La pili kama zinakuwa chini yko unaweza kuwafungulia kesi ya defamation na wakawalipa remedy

Mfano kwenye wasanii waimbaji unaona wimbo lkn beat ni ya producer.

Sasa kama video au picha inanembo ya kampuni basi hiyo ni mali yao huwezi washitaki wao wanakuwa wanafanya biashara tu hpo
 
Wasalaam

Naombeni msaada wa kisheria kwa namna gani naweza kumchukulia hatua cameran ambaye amepatiwa kazi ya kupiga picha na video kwenye tukio la harusi/sendoff lakini akakiuka maadili kwa kusambaza mitandaoni baadhi ya matukio yaliojiri ambayo hayakuwa ya kawaida (unintentional scenario) bila ridhaa ya mhusika hali inayosababisha msononeko wa mawazo kwa familia ya mtendwa.

Iko hivi, siku ya tarehe 2/12/2021 kulikuwa na tukio la send off kumuaga dada yetu. Sasa wakati wa kumkabidhi alichaguliwa kaka yetu kwa ajili ya kufanya tukio hilo la kumkabidhi binti kwa waoaji. Kutokana na tukio la hivi karibuni la kufiwa na shangazi yetu na pia mama yake na kijana anayeoa amefariki na kuzikwa jumapili ya wiki iliyopita (28/11/2021) hivyo bado hali ya huzuni ilikuwepo hali ambayo inaweza ikawa ilichangia mnenaji kujitambulisha kama kaka wa marehemu badala ya kaka wa bibi harusi.

Baada ya tukio lile hali iliwekwa sawa kwa kulitolea ufafanuzi na hadhira yote ilielewa kilichotokea na ikapita.

Lakini katika hali ya kusikitisha mpiga picha alienda studio na kutengeneza clip ambayo imesambaa dunia nzima hali ambayo imeleta taharuki hasa kwa familia na bibi harusi ambaye ndo tu ametoka kufunga ndoa yake.

Sasa basi mimi kama mmoja wa wanafamilia ambao tumeguswa na hili tunaomba mchango wa mawazo hasa ni kwa namna gani tunaweza kumshughulikia mtu huyu ambaye ametengeneza clip na kuisambaza bila ridhaa ya wahusika.

Mwenyewe amekiri kufanya hivyo na pia clip ina nembo/jina la biashara ya wapiga picha.

Naomba kuwasilisha
Kwanza huyo mtu ana pesa za kuweza kukulipa? Hiyo clip hata mimi nimeiona, nadhani hakuwa na nia mbaya, ni kama kichekesho flani.
 
Kwanza lzm ujiulize kuwa je copy right ya hizo video na picha ni za nani ?

La pili kama zinakuwa chini yko unaweza kuwafungulia kesi ya defamation na wakawalipa remedy

Mfano kwenye wasanii waimbaji unaona wimbo lkn beat ni ya producer.

Sasa kama video au picha inanembo ya kampuni basi hiyo ni mali yao huwezi washitaki wao wanakuwa wanafanya biashara tu hpo
Hapo hakuna defamation kwani hilo tukio ni kweli lilitokea vile hiyo clip inavyoonekana, apambane na usambazaji tu wa clip husika.
 
Kwanza huyo mtu ana pesa za kuweza kukulipa? Hiyo clip hata mimi nimeiona, nadhani hakuwa na nia mbaya, ni kama kichekesho flani.
Kulikua na terms za kutengeneza kichekesho?
Yeye kazi alipewa kurekod na kutengeza cd ya sherehe, alitakiwa afanye editing kwa kuondoa baadhi ya vitu ambavyo havina umuhimu. Lakin yeye akaamua kutengeneza kichekesho na nadhani alitaka kujitengenezea popularity kupitia clip hiyo.
Hakuangalia madhara ambayo mteja wake angepata.
 
Poleni sana, nimeiona hiyo clip insta.
Wasalaam

Naombeni msaada wa kisheria kwa namna gani naweza kumchukulia hatua cameran ambaye amepatiwa kazi ya kupiga picha na video kwenye tukio la harusi/sendoff lakini akakiuka maadili kwa kusambaza mitandaoni baadhi ya matukio yaliojiri ambayo hayakuwa ya kawaida (unintentional scenario) bila ridhaa ya mhusika hali inayosababisha msononeko wa mawazo kwa familia ya mtendwa.

Iko hivi, siku ya tarehe 2/12/2021 kulikuwa na tukio la send off kumuaga dada yetu. Sasa wakati wa kumkabidhi alichaguliwa kaka yetu kwa ajili ya kufanya tukio hilo la kumkabidhi binti kwa waoaji. Kutokana na tukio la hivi karibuni la kufiwa na shangazi yetu na pia mama yake na kijana anayeoa amefariki na kuzikwa jumapili ya wiki iliyopita (28/11/2021) hivyo bado hali ya huzuni ilikuwepo hali ambayo inaweza ikawa ilichangia mnenaji kujitambulisha kama kaka wa marehemu badala ya kaka wa bibi harusi.

Baada ya tukio lile hali iliwekwa sawa kwa kulitolea ufafanuzi na hadhira yote ilielewa kilichotokea na ikapita.

Lakini katika hali ya kusikitisha mpiga picha alienda studio na kutengeneza clip ambayo imesambaa dunia nzima hali ambayo imeleta taharuki hasa kwa familia na bibi harusi ambaye ndo tu ametoka kufunga ndoa yake.

Sasa basi mimi kama mmoja wa wanafamilia ambao tumeguswa na hili tunaomba mchango wa mawazo hasa ni kwa namna gani tunaweza kumshughulikia mtu huyu ambaye ametengeneza clip na kuisambaza bila ridhaa ya wahusika.

Mwenyewe amekiri kufanya hivyo na pia clip ina nembo/jina la biashara ya wapiga picha.

Naomba kuwasilisha
 
Kulikua na terms za kutengeneza kichekesho?
Yeye kazi alipewa kurekod na kutengeza cd ya sherehe, alitakiwa afanye editing kwa kuondoa baadhi ya vitu ambavyo havina umuhimu. Lakin yeye akaamua kutengeneza kichekesho na nadhani alitaka kujitengenezea popularity kupitia clip hiyo.
Hakuangalia madhara ambayo mteja wake angepata.
Unajua terms za mkataba wao zilikuwa zipi? na ukiambiwa uthibitishe madhara aliyoyapata utaweza?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom