kamonga
Senior Member
- Feb 13, 2008
- 170
- 33
Wadau, hii nimekuta sehemu. Bidhaa ya chakula inapigwa label imetengenezwa tarehe ambayo hatujaifikia. TBS mpo wapi? Yaani hata ukiwa mstaarabu wa kuangalia expiry dates haisadii. nchi hii tunakufa kwa mambo mengi sana kwa ajili ya uzembe wa watu wengine.:frusty: