Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Hapa tunapita tu ila msifu anayefanya vizuri kwa jamii maana kuna ndugu marafiki na wengine wanao nufaika na kutaka maisha yao ya kiuchumi na elimu yaboreshwe, asiyetaka wmenzie afanikiwe ni mchawi, aliye na wivu wa kufanikiwa kwa mwenzie ni mchawi, sasa ujumbe huu wa kuisaidia jamii na kukarabati majengo ya shule... tunaupokeaje na unatufundisha nini kuanzia kwetu, kwa Alikiba na wasanii wote hapa nchini.