Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 7,896
- 21,303
Haa haa haa huwezi coz unaonekana mtu mwenye huruma sana, ila kaa ukijua huku kwenye kambi ya kiume huwa tunaambiana kuwa mwanamke ukizaa nae hawezi kuwa na ubavu wa kukukataa hata kama umemuacha coz mtoto ndio bond yenu. Eti ni kweli?Hilo jibu kavu linajibiwaje mkuu?