Hatma ya wanafunzi waliosimamishwa masomo UDOM itajulikana lini?

Hahahahah. Watoto wao wapo feza, st. marry, marian n.k nyinyi mkapita mkato? Kama mna ubavu wafuateni watoto wao huku msome adv level
 
Kwa haya wanayopitia wasomi wanafunzi wa nchi hii impact yake ni kubwa sana kwaTaifa kwani hata kama watarudi kusoma na kuja kuajiriwa sidhani kama watafanya kazi kwa moyo mmoja zaidi ya kuangalia maslahi yao binafsi kwa serikali yao haiwajali na inakuwa kama inawapa adhabu wakati wote wa masomo yao iwe katika ualimu, uhandisi, udaktari n.k serikali inawasomesha namba vijana kwa lazima matokeo yake rushwa, huduma mbaya hazitakoma nchi hii.
Vijana watendewe haki lakini kama kuna mtu aliingizwa kimakosa basi wahusika wakamatwe lakini wanapokamatwa na kufunguliwa mashitaka walioingiza DISI hewa nao wafuate mkondo ule ule ili haki itendeke.
 
Kwa haya wanayopitia wasomi wanafunzi wa nchi hii impact yake ni kubwa sana kwaTaifa kwani hata kama watarudi kusoma na kuja kuajiriwa sidhani kama watafanya kazi kwa moyo mmoja zaidi ya kuangalia maslahi yao binafsi kwa serikali yao haiwajali na inakuwa kama inawapa adhabu wakati wote wa masomo yao iwe katika ualimu, uhandisi, udaktari n.k serikali inawasomesha namba vijana kwa lazima matokeo yake rushwa, huduma mbaya hazitakoma nchi hii.
Vijana watendewe haki lakini kama kuna mtu aliingizwa kimakosa basi wahusika wakamatwe lakini wanapokamatwa na kufunguliwa mashitaka walioingiza DISI hewa nao wafuate mkondo ule ule ili haki itendeke.
Icho ndio chakufanyika sasa
 
pitia web ya udom wameelezea kuhusu hao wanafunzi kwenye ripoti ya kikao cha council
 
Sina hakika na Mhe. Ndalichako na mikakati yake kama wanafanya uhakiki na kupembua wasio na sifa ni vema jambo hili likawekwa wazi na sio kuwaacha vijana na wazazi wao wasijue la kufanya. Kama hawajamalizana na wahadhiri UDOM basi na liwekwe wazi hii ndiyo tunaita transparent leadership vinginevyo hatuwezi kuwaelewa.
 
Habari za kazi,
Hivi ni lini serikali itatoa majibu ya moja kwa moja kwa wanafunzi wa program maalumu ya ualimu wa Sayansi na Hisabati waliondolewa katika Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)?

Maana mpaka sasa watoto hawaelewi wafanyaje na mliahidi baada ya wiki tatu mtatoa hatima yao ila yapata mwezi mmoja na wiki moja sasa hawaelewi hatima yao.

Tuliahidiwa na Viwanda tuendelee kuvuta subra
 
Sina hakika na Mhe. Ndalichako na mikakati yake kama wanafanya uhakiki na kupembua wasio na sifa ni vema jambo hili likawekwa wazi na sio kuwaacha vijana na wazazi wao wasijue la kufanya. Kama hawajamalizana na wahadhiri UDOM basi na liwekwe wazi hii ndiyo tunaita transparent l weadership vinginevyo hatuwezi kuwaelewa.
kaka hii serikali inawaumiza watoto wamasikini muda huu wangekuwa kidato cha sita
 
Sina hakika na Mhe. Ndalichako na mikakati yake kama wanafanya uhakiki na kupembua wasio na sifa ni vema jambo hili likawekwa wazi na sio kuwaacha vijana na wazazi wao wasijue la kufanya. Kama hawajamalizana na wahadhiri UDOM basi na liwekwe wazi hii ndiyo tunaita transparent leadership vinginevyo hatuwezi kuwaelewa.
Ndio maana yake
 
Jamani hitima ya wanafunzi(special diploma ) waliosimamishwa chuo kikuu cha dodoma itatolewa lini maana da vijana hawaelewi wafanyaje mtaani amna ishu!!!
 
Jamani hitima ya wanafunzi(special diploma ) waliosimamishwa chuo kikuu cha dodoma itatolewa lini maana da vijana hawaelewi wafanyaje mtaani amna ishu!!!
Wamesema swala bado linashughulikiwa kwahyo mkae tayar muda wowote ule na limezunguziwa katka kikao cha udom
Check hapa au visit www.udom.ac.tz
fc4a1b9093a848b7136f1c1484644e48.jpg
 
Wacha tuisome namba.... full kutumbuliwa.... hvo yan... na kama una Div one au Two.. we subiri... lakini ss wenye three tutafute vyuo vya saizi yetu..... #chezea..Mbele..kwa..mbele..yani....
 
kuna baadhi ya watoto hao ni yatima, waliniambia kuwa walijitahidi kusoma kwa bidii kwenye shule za kata zisizo na Walimu, vifaa vya kujifunzia, bila madawati na miundombinu mingine ikiwa si rafiki, lengo likiwa ni kuja kuwasaidia yatima wenzao waliobaki nyumbani wakiwemo Bibi na babu zao.
Walijitahidi kusoma kwa bidii kwenye shule za kata zilizombali na makazi yao huku wakitembea kwa miguu na njaa, lengo likiwa ni kuja kulitumikia Taifa lao kama wazalendo waliopitia misukosuko hadi kupata hiyo Div.1,2 na 3. Wanasema Serikali isiyo na huruma imekatisha ndoto zao, maana hawana mtu wa kuwaendeleza kimasomo.
Wengi waliniambia,
"Mungu atatufuta machozi kwani sauti yetu ni yeye pekee atakayeisikiliza. Waache hao watawala na familia zao wafaidi dunia huenda Mungu akawarithisha kabisa (milele).
 
Back
Top Bottom