BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,535
- 10,974
#Habari:Waziri wa Elimu nchini Tanzania Pof.Joyce Lazaro Ndalichako atoa msimamo wa Serikali juu ya waliofukuzwa chuo kikuu cha Dodoma, leo jijini Dar es Salaam, ambapo amesema kuwa kati ya wanafunzi zaidi ya elfu saba waliokuwa wamedahiliwa na kuanza chuo kikuu dodoma ni wanafunzi 382 tu ndio wenye sifa ya kurudi chuoni.
Chanzo.Radio one/ITV
Chanzo.Radio one/ITV