24hrs
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,624
- 5,947
Nikianza na wale wenye principal pass E ya mwaka 2013, na principal pass D ya mwaka 2014-2015 na hawa ndugu zetu wa diploma wenye gpa ya 2.0-2.9.
Foundation course Open University......
Je serikali kupitia wizara ya elimun kundi hili halina sifa tena kupata elimu ya shahada kwa mwaka wa msomo 2017/2018 mwisho wa kunukuuu...
Foundation course Open University......
Je serikali kupitia wizara ya elimun kundi hili halina sifa tena kupata elimu ya shahada kwa mwaka wa msomo 2017/2018 mwisho wa kunukuuu...