Pa1 mkuuDah! Mkuu hii yenyewe kila nikitaka kuanza kuiandika ndio kwanza mambo yanazidi kuwa mengi, nikiimaliza tutaangalia tunafanyaje kama nikiwa na huo muda lakini
Mkuu, "wiki inayoanza kesho" imeisha, ikaanza nyingine ndio hii inaishia lakini bila bilaKama mipango itaenda sawa, wiki hii inayoanza kesho
Dah! Annie imekuaje tena? Anyway shusha vitu Mkuu, shauku yangu mm ni kujua yule Dogo wa Buguruni anaendeleajeWakuu SEASON 2 ipo njiani, natafuta muda sahihi wa kuiandika kwa utulivu zaidi, ila guys hii story sehemu ilipofikia sikudhania hata, Yani hadi mm mwenyewe naisubiria kwa hamu siku nitakayoanza kuiandika
Kwa kuwadokeza tu, kwenye SEASON 2 ya hii story tegemeeni kulisikia Jina la Caryn mara kwa mara, Annie tumemkosa kwenye SEASON 2 hatutamsikia sana kama kwenye SEASON 1, Accountant kama kawaida ndani ya nyumba
Lakini pia, Kuna character mwingine ameongezeka, huyu naweza kumuita Opportunist
Dah itakua kamchagua Caryn dhidi ya Annie kwa Tamaa ya Hela😫Dah! Annie imekuaje tena? Anyway shusha vitu Mkuu, shauku yangu mm ni kujua yule Dogo wa Buguruni anaendeleaje
Kama ni hivyo atakuwa kakosea pakubwa sana, labda kama Mzee kabless hilo jambo. lakini pia Annie atakuwa hajatendewa haki aseDah itakua kamchagua Caryn dhidi ya Annie kwa Tamaa ya Hela
Poor Annie☹️Kama ni hivyo atakuwa kakosea pakubwa sana, labda kama Mzee kabless hilo jambo. lakini pia Annie atakuwa hajatendewa haki ase
We are waiting....Take your time.Wakuu SEASON 2 ipo njiani, natafuta muda sahihi wa kuiandika kwa utulivu zaidi, ila guys hii story sehemu ilipofikia sikudhania hata, Yani hadi mm mwenyewe naisubiria kwa hamu siku nitakayoanza kuiandika
Kwa kuwadokeza tu, kwenye SEASON 2 ya hii story tegemeeni kulisikia Jina la Caryn mara kwa mara, Annie tumemkosa kwenye SEASON 2 hatutamsikia sana kama kwenye SEASON 1, Accountant kama kawaida ndani ya nyumba
Lakini pia, Kuna character mwingine ameongezeka, huyu naweza kumuita Opportunist
Kwamba jamaa anatupanga, hakuna uhalisia wowoteHii Ni riwaya tu ni nzuri ukisoma Kama huna ishu zingine humu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
ni riwaya hi tu Mara nyingi watu wenye Mikasa ya Kweli hawamo uku jf na hawajui pa kwenda kusimulia Mikasa yao wkt mwingine anawasimulia watu wa bak then hao wanAenda kutengeneza Kama yakwao.Kwamba jamaa anatupanga, hakuna uhalisia wowote
Kama ni riwaya basi jamaa atakuwa anajua kutupanga, maana anatupa na updates kabisa ya kinachojiri, kwamba Mzee alisafiri na ndio sababu ya story kustop, Mzee alivyorudi na akatupa na taarifa, hii imekaaje mkuu?ni riwaya hi tu Mara nyingi watu wenye Mikasa ya Kweli hawamo uku jf na hawajui pa kwenda kusimulia Mikasa yao wkt mwingine anawasimulia watu wa bak then hao wanAenda kutengeneza Kama yakwao. Fatilia story nyingi ,nying utakuta Ni umahiri wa utunzi tu hkn kipiya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Jamaa atakua aliiranda kisawa sawa😂😂,na hio ndio kitu inatakiwa kwenye papuchi,ni kuiranda vilivyoDah! huyo jamaa kwani alikuwa anaifanyaje hiyo Papuchi asee
Huyu dogo inawezkana mambo yashamuendea mramaMaybe, maana last seen ya jamaa inaonesha ni mwezi uliopita (September)