Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,792
- 8,004
Chauma pia huwa anafunguka vizuri sanaNimependa mwenendo viongozi kambi upinzani Mbatia Nccr na Lipumba CUF wameongea vema suala la Mbowe.Natumai ZZK pia sauti yake itasaidia pia watesi kukuona wapo uchiii.Nawaona CCM bado wanamtumia Mzee Cheyo justify eti wanawashirikisha vyama katika matukio kitaifa.
Hana uwezo wa kujiengua SuKKuhusu gaidi FEKI Mbowe kabambikiwa kesi, Katiba mpya ila la kujitoa Serikali ya umoja sahau hilo labda kama hawana sauti kwenye hiyo Serikali haramu ya Zenj basi pia atatangaza ACT Wazalendo kujiengua.
Anazungumza na TAIFA gani? TANZANIA? yeye kama nani?
Kama mtanzaniaAnazungumza na TAIFA gani? TANZANIA? yeye kama nani?
Muulize mwenyekiti wa CCM.
Wanachama, wapenzi na mashabiki wa CCM ndio jamii/jumuiya inayoongoza kwa unafiki duniani.
Kuna thread ipo hukuUpdates za "mazungumuzo" tafadhali.