Hatimaye Zitto Kabwe kuvunja ukimya, kuzungumza na Taifa kesho Jumapili

Kuhusu gaidi FEKI Mbowe kabambikiwa kesi, Katiba mpya ila la kujitoa Serikali ya umoja sahau hilo labda kama hawana sauti kwenye hiyo Serikali haramu ya Zenj basi pia atatangaza ACT Wazalendo kujiengua.
Huyu alivyo kunguru hivi
Sijui kama atakua ana moyo huo wa kishujaa
Labda aombe poo kwa maza
Maana jamaa kwa kujipendekeza kwenye nyakati kama hizi hajambo
 
Kama tunavyosherekea wagunduzi wa vitu mbalimbali na kuwapa tuzo, mfano akina Einstein, Tesla basi hapa Tanzania mnamo mwaka 2015 mara baada ya mzee wa nywele nyeupe kuwa mgombea wa chama fulani ambacho kilimtaja kwenye list of shame, hivyo mashabiki wa chama hicho kulazimishwa kumsafisha na kumpigia kampeni ili awe rais na wao wakakubali kwa kufuta list of shame kwenye tovuti ya chama chao na mara moja wakaanza kuzunguka nchi nzima wakiimba kwa kuzungusha mikono kuwa kama mtu huyu angekuwa fisadi kweli basi angefungwa maana yake walikiri kuwa walimsingizia tu!.

Baada ya mkengeuko huo ndipo akajitokeza mgunduzi wa jina la nyumbu akiwafananisha na mnyama nyumbu ambaye hanaga akili ya kufikiri mara mbili pale wanapokatiza mto Mara, hata mto uwe umejaa mamba, nyumbu kiongozi akishajirusha humo basi wote wanaofuatia watajirusha humo na kuliwa.

Leo miaka 5 imepita lakini jina la nyumbu linaendelea kuwafaa wafuasi hawa. Wao kila kitu ni kupinga na kutetea kila aina ya ujinga ili mradi tu huo ujinga umeungwa mkono na kiongozi wao.
Basi napendekeza aliyebuni jina la nyumbu asakwe huko aliko na apewe tuzo.

Ccm kipindi cha Magufuli, tumepambana na covid kwa maombi na Corona haipo hapa nchini. Hizo chanjo lengo lao ni kutuumiza sisi waafrika.ccm baada ya kifo cha dhalimu, corona ipo na kuchanjwa ni jambo la muhimu. Na ili kudhibitisha chanjo ni nzuri na salama, mama wa kambo amekuwa mfano. Hebu tupe utofauti wa huo unyumbu hapo.
 
Mazungumzo ama mazungumuzo? Hivi siku hizi haya mambo hayafundishwi tena shule ya msingi?

1628366565026.png
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kuhusu gaidi FEKI Mbowe kabambikiwa kesi, Katiba mpya ila la kujitoa Serikali ya umoja sahau hilo labda kama hawana sauti kwenye hiyo Serikali haramu ya Zenj basi pia atatangaza ACT Wazalendo kujiengua.
Hilo hàpana...Kuna watu humo wanapata mkate wao, ngumu kidogo inahitaji mtu Kama Mbowe
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nimependa mwenendo viongozi kambi upinzani Mbatia Nccr na Lipumba CUF wameongea vema suala la Mbowe.Natumai ZZK pia sauti yake itasaidia pia watesi kukuona wapo uchiii.Nawaona CCM bado wanamtumia Mzee Cheyo justify eti wanawashirikisha vyama katika matukio kitaifa.
 
Ataongea kwa target sana akichagua maneno asije kuwakwaza marafiki zake kwenye serikali ya umoja wa kitaifa, Zitto namuona kama mwanasiasa aliepo kifungoni bila yeye kujua.
 
Back
Top Bottom