BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Kesho Agosti 8, 2021 Kiongozi wa Chama, Ndugu @zittokabwe atazungumza na Taifa kuanzia Saa 5:00—5:30 Asubuhi.
Jambo Jema Tutamsikiliza
Mnaa
Sijui atabonga nini!!?
😁😁😁😁
Huyu alivyo kunguru hiviKuhusu gaidi FEKI Mbowe kabambikiwa kesi, Katiba mpya ila la kujitoa Serikali ya umoja sahau hilo labda kama hawana sauti kwenye hiyo Serikali haramu ya Zenj basi pia atatangaza ACT Wazalendo kujiengua.
Kama tunavyosherekea wagunduzi wa vitu mbalimbali na kuwapa tuzo, mfano akina Einstein, Tesla basi hapa Tanzania mnamo mwaka 2015 mara baada ya mzee wa nywele nyeupe kuwa mgombea wa chama fulani ambacho kilimtaja kwenye list of shame, hivyo mashabiki wa chama hicho kulazimishwa kumsafisha na kumpigia kampeni ili awe rais na wao wakakubali kwa kufuta list of shame kwenye tovuti ya chama chao na mara moja wakaanza kuzunguka nchi nzima wakiimba kwa kuzungusha mikono kuwa kama mtu huyu angekuwa fisadi kweli basi angefungwa maana yake walikiri kuwa walimsingizia tu!.
Baada ya mkengeuko huo ndipo akajitokeza mgunduzi wa jina la nyumbu akiwafananisha na mnyama nyumbu ambaye hanaga akili ya kufikiri mara mbili pale wanapokatiza mto Mara, hata mto uwe umejaa mamba, nyumbu kiongozi akishajirusha humo basi wote wanaofuatia watajirusha humo na kuliwa.
Leo miaka 5 imepita lakini jina la nyumbu linaendelea kuwafaa wafuasi hawa. Wao kila kitu ni kupinga na kutetea kila aina ya ujinga ili mradi tu huo ujinga umeungwa mkono na kiongozi wao.
Basi napendekeza aliyebuni jina la nyumbu asakwe huko aliko na apewe tuzo.
Muulize mwenyekiti wa CCM.Wataalamu wa chanjo wamefanikiwa kupata chanjo ya unafiki?
Magufuli anayeoza sasahivi ndiye aliwabatiza. Mfufueni apewe tuzo😅😅Umenena vizuri sana kiongozi. Hivi ni nani aliyewapa jina la nyumbu hawa wanasaccos? Ajitokeze tumpatie tuzo!!
Hilo hàpana...Kuna watu humo wanapata mkate wao, ngumu kidogo inahitaji mtu Kama MboweKuhusu gaidi FEKI Mbowe kabambikiwa kesi, Katiba mpya ila la kujitoa Serikali ya umoja sahau hilo labda kama hawana sauti kwenye hiyo Serikali haramu ya Zenj basi pia atatangaza ACT Wazalendo kujiengua.