Hatimaye ZIKA Tanzania ndani ya CCTV

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,816
image.jpeg

Hii kitu ya ZIKA kuwepo Tanzania naona sasa imevuka mipaka ya nchi kwa kasi sasa.Sasa hapa ndio tunaona kazi ya vyombo vya habari vya nje kwenye mambo kama haya yanapotokea ktk nchi za Afrika.

Baada ya BBC,sasa na CCTV nao wameikomalia issuei hii.Hii sasa inazidi kupata "coverage" huko duniani.Huku NIMRI wanasema yao,huku Waziri na Wizara wanasema yao wakishirikiana na WHO.

Lakini huko "duniani" watu wanazidi kusambaza habari kweli Tanzania si salama tena,maana mdudu wa ZIKA anataradadi.Inahitaji umakini kukabiliana na suala hili.
image.jpeg
 
View attachment 447607
Hii kitu ya ZIKA kuwepo Tanzania naona sasa imevuka mipaka ya nchi kwa kasi sasa.Sasa hapa ndio tunaona kazi ya vyombo vya habari vya nje kwenye mambo kama haya yanapotokea ktk nchi za Afrika.

Baada ya BBC,sasa na CCTV nao wameikomalia issuei hii.Hii sasa inazidi kupata "coverage" huko duniani.Huku NIMRI wanasema yao,huku Waziri na Wizara wanasema yao wakishirikiana na WHO.

Lakini huko "duniani" watu wanazidi kusambaza habari kweli Tanzania si salama tena,maana mdudu wa ZIKA anataradadi.Inahitaji umakini kukabiliana na suala hili.View attachment 447607
Ndio kosa la Dr Malecela hili,kutumbuliwa ilikuwa haiepukiki
 
Whatever it is....research findings from the public institutions should be made publicly available for challenges. .....siasa za kukanusha sidhan kama zitasaidia, Huwezi kwepa facts kwa mane no.
Wizara nayo lazima ijipange kisayansi, kukabiliana na tafiti kama hizo..Dr.Kigwangala knows the rest. ..
 
Rais anapofanya maamuzi watu mnakurupuka na kumsimanga kwa kila aina ya kejeli na matusi. Watanzania hatuna tabia kufikiria mbeleni inakuwaje. Ipo siku mtamuelewa Mh. Rais anachokifanya kwamba si kwa maslahi yake binafsi bali ni kwa maslahi ya taifa nawatanzania wote.
 
Whatever it is....research findings from the public institutions should be made publicly available for challenges. .....siasa za kukanusha sidhan kama zitasaidia, Huwezi kwepa facts kwa mane no.
Wizara nayo lazima ijipange kisayansi, kukabiliana na tafiti kama hizo..Dr.Kigwangala knows the rest. ..
True beyond all doubts, Dr Kigwangala has decided to be silent because he knows the truth.
 
Hao waliokanusha zika haipo research yao iko wapi tuione ili tudhibitishe kanusho lao maan waliosema vimelea vya zika vipo research wamefanya wa kisayansi na ndio maana vyombo vya habari vya nje vinaimani na research zaidi kuliko maneno ndio maana wanatangaza ipo.
 
Whatever it is....research findings from the public institutions should be made publicly available for challenges. .....siasa za kukanusha sidhan kama zitasaidia, Huwezi kwepa facts kwa mane no.
Wizara nayo lazima ijipange kisayansi, kukabiliana na tafiti kama hizo..Dr.Kigwangala knows the rest. ..
Nimemkumbuka Dr.KIGWENGELE na harakati zake kwa kumtumbua yule mtaalam wa miti shamba.
 
Rais anapofanya maamuzi watu mnakurupuka na kumsimanga kwa kila aina ya kejeli na matusi. Watanzania hatuna tabia kufikiria mbeleni inakuwaje. Ipo siku mtamuelewa Mh. Rais anachokifanya kwamba si kwa maslahi yake binafsi bali ni kwa maslahi ya taifa nawatanzania wote.
Hii utajua wewe ila sisi tumishaona SIZONJE anaipeleka TZ kusikojulikana
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom