TECHMAN
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 2,651
- 1,125
hiyo sio kazi ya JWTZ wanatakiwa kushtakiwa. Msiwe mnatetea tu mambo na uvunjaji wa sheria ireja reja. Hata kama ni pro Upinzani ukishabkia mambo kama hayo jua hata wapinzaniw akichukua nchi watahsindwa kutawala na kuongoza.
Adui njaa na magonjwa anauwa watu wilayani JWTZ haifanyi kitu sembuse mafuta ambayo haytoi uhai ndio .unashabikia madudu ya JWTZ bla kutazama upana wa issue yenyewe .
Kama ni kweli JWTZ wamefanya hivyo wanatakiwa kukemewa na waambie waache siasa kwa wanasiasa.
Mmeshindwa kuwashitaki hao waliogoma kuuza mafuta, wanaoiba mali ya uma na wanaojinufaisha na pesa za walipa kodi, Eti wanajeshi wakashitakiwe, kisa kutetea haki, Nchi hii ukiwatetea watu unaoneka mhalifu ee, powa tu yana mwisho haya.