Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Jana NJAKE kituo cha Kona ya Mbauda waliuza mafuta kwa Amri ya Jeshi
jana NJAKE kituo cha Kona ya Mbauda waliuza mafuta kwa Amri ya Jeshi
Nimeipenda hii ya jwtz
Na hii mnaona ni hatua nzuri.., kweli kuna wakati tunachokiomba hatukijui....
Hivi hii ina tofauti gani na Udikteta..., Jeshi na biashara na vitu viwili tofauti kama mtu hataki kuuza apewe penalty za kibiashara kama kunyanganywa leseni na sio kulazimishwa na jeshi kuuza mafuta
hiyo sio kazi ya JWTZ wanatakiwa kushtakiwa. Msiwe mnatetea tu mambo na uvunjaji wa sheria ireja reja. Hata kama ni pro Upinzani ukishabkia mambo kama hayo jua hata wapinzaniw akichukua nchi watahsindwa kutawala na kuongoza.
Adui njaa na magonjwa anauwa watu wilayani JWTZ haifanyi kitu sembuse mafuta ambayo haytoi uhai ndio .unashabikia madudu ya JWTZ bla kutazama upana wa issue yenyewe .
Kama ni kweli JWTZ wamefanya hivyo wanatakiwa kukemewa na waambie waache siasa kwa wanasiasa.
<br /><font size="3"><span style="font-family: times new roman">hii tunaweza kuiona ni nzuri kwa sasa lakini matokeo yake ndilo balaa tunalolisubiri. Mafuta kama biashara nyingine yoyote ni soko huria na wala hutupaswi kuwalazimisha wauzaji kuuza, tatizo ni usimamizi mbovu ambapo huu mgomo ni dalili tu ya matokeo ya uzembe huu.<br />
Nimefuatilia vurugu za Uingereza juzi na walikuwa wanasema ikizidi sana ndio wanaweza kuomba msaada wa jeshi kwa vile ilikuwa ikihusisha uvunjaji wa sheria waraia kutumia</span></font><font size="3"><span style="font-family: times new roman"> na </span></font><font size="3"><span style="font-family: times new roman"> nguvu, lakini biashara ni tofauti kabisa.</span></font>
hiyo sio kazi ya JWTZ wanatakiwa kushtakiwa. Msiwe mnatetea tu mambo na uvunjaji wa sheria ireja reja. Hata kama ni pro Upinzani ukishabkia mambo kama hayo jua hata wapinzaniw akichukua nchi watahsindwa kutawala na kuongoza.
Adui njaa na magonjwa anauwa watu wilayani JWTZ haifanyi kitu sembuse mafuta ambayo haytoi uhai ndio .unashabikia madudu ya JWTZ bla kutazama upana wa issue yenyewe .
Kama ni kweli JWTZ wamefanya hivyo wanatakiwa kukemewa na waambie waache siasa kwa wanasiasa.
Njake-kona ya mbauda ni arusha jamani kama unaelekea airport ndogo ya kilimowanga au magereza au kwa ngurumo ya upako.... kumbe arusha kubwa
<br /><br /><font size="4">ndo wapi huko?</font>
<br />Ilikuwa saa ngapi? na waliuza kwa muda gani? coz jana asb walikuwa wamefunga na leo pia wamefunga...
<br />Wapi Shimbo atusaidie kupiga biti ili jamaa waache mgomo