Hatimaye ya Zitto na JWTZ yatimia

mmh ni Tanzania kweli huko, hebu tupatie jina la wilaya au hata mkoa na sio jina la balozi wa mtaa huo pls. Asante kwa taarifa
 
Hii ni mojawapo ya maamuzi magumu!! ambayo kama tungekuwa tunayachukua nchi ingefika mbali sana... safi sana!
 
Njake-kona ya mbauda ni arusha jamani kama unaelekea airport ndogo ya kilimowanga au magereza au kwa ngurumo ya upako.... kumbe arusha kubwa
 
Nimeipenda hii ya jwtz

hiyo sio kazi ya JWTZ wanatakiwa kushtakiwa. Msiwe mnatetea tu mambo na uvunjaji wa sheria ireja reja. Hata kama ni pro Upinzani ukishabkia mambo kama hayo jua hata wapinzaniw akichukua nchi watahsindwa kutawala na kuongoza.

Adui njaa na magonjwa anauwa watu wilayani JWTZ haifanyi kitu sembuse mafuta ambayo haytoi uhai ndio .unashabikia madudu ya JWTZ bla kutazama upana wa issue yenyewe .

Kama ni kweli JWTZ wamefanya hivyo wanatakiwa kukemewa na waambie waache siasa kwa wanasiasa.
 
Na hii mnaona ni hatua nzuri.., kweli kuna wakati tunachokiomba hatukijui....

Hivi hii ina tofauti gani na Udikteta..., Jeshi na biashara na vitu viwili tofauti kama mtu hataki kuuza apewe penalty za kibiashara kama kunyanganywa leseni na sio kulazimishwa na jeshi kuuza mafuta
 
hii tunaweza kuiona ni nzuri kwa sasa lakini matokeo yake ndilo balaa tunalolisubiri. Mafuta kama biashara nyingine yoyote ni soko huria na wala hutupaswi kuwalazimisha wauzaji kuuza, tatizo ni usimamizi mbovu ambapo huu mgomo ni dalili tu ya matokeo ya uzembe huu.
Nimefuatilia vurugu za Uingereza juzi na walikuwa wanasema ikizidi sana ndio wanaweza kuomba msaada wa jeshi kwa vile ilikuwa ikihusisha uvunjaji wa sheria waraia kutumia
na nguvu, lakini biashara ni tofauti kabisa.
Na hii mnaona ni hatua nzuri.., kweli kuna wakati tunachokiomba hatukijui....

Hivi hii ina tofauti gani na Udikteta..., Jeshi na biashara na vitu viwili tofauti kama mtu hataki kuuza apewe penalty za kibiashara kama kunyanganywa leseni na sio kulazimishwa na jeshi kuuza mafuta
hiyo sio kazi ya JWTZ wanatakiwa kushtakiwa. Msiwe mnatetea tu mambo na uvunjaji wa sheria ireja reja. Hata kama ni pro Upinzani ukishabkia mambo kama hayo jua hata wapinzaniw akichukua nchi watahsindwa kutawala na kuongoza.

Adui njaa na magonjwa anauwa watu wilayani JWTZ haifanyi kitu sembuse mafuta ambayo haytoi uhai ndio .unashabikia madudu ya JWTZ bla kutazama upana wa issue yenyewe .

Kama ni kweli JWTZ wamefanya hivyo wanatakiwa kukemewa na waambie waache siasa kwa wanasiasa.
 
<font size="3"><span style="font-family: times new roman">hii tunaweza kuiona ni nzuri kwa sasa lakini matokeo yake ndilo balaa tunalolisubiri. Mafuta kama biashara nyingine yoyote ni soko huria na wala hutupaswi kuwalazimisha wauzaji kuuza, tatizo ni usimamizi mbovu ambapo huu mgomo ni dalili tu ya matokeo ya uzembe huu.<br />
Nimefuatilia vurugu za Uingereza juzi na walikuwa wanasema ikizidi sana ndio wanaweza kuomba msaada wa jeshi kwa vile ilikuwa ikihusisha uvunjaji wa sheria waraia kutumia</span></font><font size="3"><span style="font-family: times new roman"> na </span></font><font size="3"><span style="font-family: times new roman"> nguvu, lakini biashara ni tofauti kabisa.</span></font>
<br />
<br />
na amiri jeshi mkuu ameridhia jeshi likandamize wananchi na lidekeze serikali?!, huku ni kutumia "MASABURI" kufikiri. Serikali inatakiwa kutumia madaraka yake vizuri na si kuruhusu mabavu katika kuhudumia raia wake.
 
hiyo sio kazi ya JWTZ wanatakiwa kushtakiwa. Msiwe mnatetea tu mambo na uvunjaji wa sheria ireja reja. Hata kama ni pro Upinzani ukishabkia mambo kama hayo jua hata wapinzaniw akichukua nchi watahsindwa kutawala na kuongoza.

Adui njaa na magonjwa anauwa watu wilayani JWTZ haifanyi kitu sembuse mafuta ambayo haytoi uhai ndio .unashabikia madudu ya JWTZ bla kutazama upana wa issue yenyewe .

Kama ni kweli JWTZ wamefanya hivyo wanatakiwa kukemewa na waambie waache siasa kwa wanasiasa
.

swala la mafuta ni la kisiasa njie ndio mnao changanya siasa na maendeleo.
 
&lt;font size=&quot;4&quot;&gt;ndo wapi huko?&lt;/font&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
NI ARACHUGA CHALII ANGU! NA HAPA DASLAM WANGEFANYA HIVYOHIVYOOO HATA KAMA SOME OF HIVYO VITUO VINAMILIKIWA NA MTOTO WA AMIRI JESHI WAO MKUU, TEHEHEHE BUT THANK ALLAH ITS OVER NOW!
 
Hii inaprove kabisa kuwa hii nchi inaendeshwa kijeshi, ni kweli tunaweza kuona ni kitu kizuri lakini unapotumia jeshi basi nchi imeshatangaza hali ya hatari,
njia ambayo serikali ingetumia ni kuvifungia vituo na kuwashitaki hao wenye vituo kwa kukiuka Amri halali ya serikali, vinginevyo kama Serikali imeamua kutumia nguvu bas wangetumia hata FFU, kama ilivyokuwa ule mgomo wa kiwanda cha sukari miaka ile,

Nadhani wanajeshi walitumia nguvu na wala sio Agizo Rasmi
 
Back
Top Bottom