With due respect, yaani mtu ambaye si raia wa nchi hii, akifanya hayo uliyoyaorodhesha hapo juu kwa nchi hii, ndio automatically anakuwa raia? Ni bahati mbaya sana sababu zinazozua mambo haya ni sababu za chuki lakini haziondoi tafsiri ya sheria ya kuwa nani ni raia halali wa URT na asiye raia, afanye nini aupate uraia huo. Kama kuna tatizo na sheria, basi ibadilishwe na kuruhusu watu walioyafanyia makubwa taifa hili, kupata uraia moja kwa moja bila ya kuomba.Mmeishaanza kulana wenyewe. Hii sumu mliingiza kwa Jenerali sasa mtamgeukia kila mtu ambaye anatoka mikoa ya mipakani. Kama vile ilivyokuwa kwa Jenerali, huyu jamaa katumikia taifa lake muda wote huu ila sasa kwa vile mmemechoka ndiyo mnaleta upuuzi huu! Hao mnaowaita wahamiaji ndiyo waliosimama kidete na watanganyika wenzao kugombea uhuru wa nchi hii. Au mmesahau Katibu Mkuu wa kwanza, mzaliwa wa Kwambe, wa TANU alikuwa nani? . Au Dennis Phombeah? Au wakina Dr. Mtawali? Wote hawa na wengine walichangia na walikubalika katika taifa hili bila kujali kama waliongea kiswahili kwa lahfudhi ya kinyasa. Mnasahau kuwa kabla ya uhuru watu wengi tu walienda Nyasaland na Northern Rhodesi kusoma? mnasahau vilevile kuwa wapiganaji wengi walitoka huko kuja kusoma hapa? Katika mazingira yenu ya sasa yanayoendeshwa zaidi na chuki wazalendo kama wakina Amir Jamal, leader Stirling wsingekuwa na nafasi! Mnatia kichefu chefu na aibu.
Mwandameni Mkulo kwa mapungufu yake ( ambayo anayo mengi) lakini si hili la ukabila.
Amandla......
Mkulo alisoma Degree yake
Almeda University
From Wikipedia, the free encyclopedia
Almeda University (possibly also called Almeda College or Almeda College & University) is an unaccreditedAmerican institution that offers various academic degrees through distance education, including a "Life Experience Degree". Almeda was founded in 1997. Bears' Guide says that they could not locate the physical address of the institution and were told by reception that Almeda University is a "Web only" institution.
Elimu ya Msingi: Kumbukumbu zinaonyesha
Rudewa Primary School-1956-1960
Zombo Midle School-Primary 1961-1964
Mwaka 1965 alikwenda Pugu.
KWA VILE ALIKUWA ANAISHI TANGANYIKA WAKATI WA UHURU NA PIA ALIKUWA NCHINI WAKATI TANZANIA INAZALIWA MWAKA 1964. JE, SHERIA YA URAIA WA TANZANIA INASEMAJE KUHUSU URAIA WAKE?
Majungu hayaendeshi nchi. Kama mgombea amekosa kura za kutosha
asubiri kipindi kingine njia ya mkato ni mbaya kwa uongozi.
Hii ya kufukuza watu au kutaka kufukuza kwa sababu si raia ilianza zamni sana tukionacho sasa ni ujukuu wa tabia hii chafu na yenye hila za kifisifisi.
Washenzi wakubwa tena wanaharamu msio na aibu.
Yaani mnajifanya kujua kwamba Mstafa si rai wa Tanzania leo hii karne ya 21??
Kweli Wa TZ hatuna aibu kabisa tunweza kwenda uchi mbele ya mkwe tukiahidiwa pochi.
Mtu wa hadhi ya juu kutimuliwa nchini tanzania kwa madai kwamba si raia wa nchi hii japo alifanya mengi makubwa na muhimu kule Zanzibar ni Marehemu Field Marshal John Okello. John Okello alifukuzwa tanzania kama Mbwa koko na Mwalimu Nyerere akaenda kenya nako wakamfukuza kama mbwa mwizi akarudi kwao uganda.
Hivi watanzania tulidhani Dhambi hii itaishia kwa John Okello tu.
Mpaka leo hii hakuna mtu ndani ya serikali anathubutu kusema neneo juu ya hili la Okello.
Ukiosha kumbuka utaoshwa.
1. NENDENI RITA KAMA MTAKUTA CHETI CHAKE CHA KUZALIWA TANZANIA...huyu alizaliwa MALAWI na baba yake alikuwa MIGRANT LABOUR alyetokea MALAWI kwenda kwenye mashamba ya mikonge KILOSA iweje aongope kazaliwa MALAWI?
2. HIKO CHUO ALICHOKISOMA NDKO ALIKOPATA DEGREE FEKI...I MEAN HIKI NDICHO CHUO KINACHOTOA DEGREES MPAKA KWA MBWA!
3. ANADAI ALIKUWA MKURUGENZI WA NSSF lakini ukweli alikuwa kurugenzi wa NPF (i might be wrong)
Msije kusikia hata JK si mtanzania ni Mzambia au mngazija kwa asili. Binadamu tunaishi kwa kuhama hama. Mbona nchi km USA Schwazenerger ni Governor.
Hata wewe tukifuatilia kwa makini tunaweza kukuta si mtanzania. Hawakujua kuwa si raia tangu walipompa ukurugenzi NSSF?