na hii ajenda nape anakulipa au ni juhudi binafsi?Njoo na ww nikusaidie kama wataka ila ukubali masharti yangu tu
Inaonesha jinsi ulivyokuwa na mawazo ya KIMAGAMBA!Unatakiwa Uwe na Empathy! Acha unyama kiasi hiki! Utakufa bure! Ushindwe na Ulegee! Fataki! Shindwa Shetani!
mawazo yako yanawakilisha (unavyodhani) asilimia ngapi ya Watanzania!?
Hayo ndio madhara yakufuata mawazo ya watu wa MAGWANDA, chuo kimefungwa, hela hamna sasa hapo sijui mtaishije . Ngoja mie nitafute msichana mrembo wa kuwa nae leo kwani najua hivi sasa wanapatikana kwa bei cheap
be serious, shetani hapa anaingia-ingiaje, na kama tayari ameingia anashindwa-shindwaje? Swala la muhimu ni kuwa waliofukuzwa je wamejianda-anda-andaandaaje kurudi uswahilini!Shindwa shetani!
Sio wote...Hawa vijana si ndiyo wanaipenda sana CCM na hata kudiriki kuutangazia umma kuwa vyama vya upinzani haviiwezi CCM
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma katika College za Social science na Humanities wamepewa muda wa masaa matatu tu kuhakikisha kwamba wanaondoka chuon mara moja. Hii ni kutokana na wanachuo hao kugoma kuingia darasani kwa kutaka kujua ni lini watakwenda field na pia ni lini watalipwa fedha kwaajili ya Field
We kweli Taburalasa na kama MAGAMBA yanakutegemea basi wote mmekwisha. Acha maneno ya vijiweni. Kila kinachotokea UDOM mnamtaja kamanda LEMA. Kama we ni genious weka picha hapa ikimuonesha kamanda akiwashawishi. Zero kabisa! Huna hoja! Shindwa shetani!
mkuu hizo ni college mbili tofauti kabisa, social science ni college inayojitegemea na pia humanities ni college inayojitegemea. na wadau wengine naomba muelewe hilo. mdau aliyeleta hii thread yuko sahihi kabisa. Tayari wanafunzi wote wameshaondoka katika eneo la chuo na kwa kweli hali ni shwari kabisa, waandishi wa habari mbalimbali wapo hapa wanakusany taarifa mbalimbali
Hayo ndio madhara yakufuata mawazo ya watu wa MAGWANDA, chuo kimefungwa, hela hamna sasa hapo sijui mtaishije . Ngoja mie nitafute msichana mrembo wa kuwa nae leo kwani najua hivi sasa wanapatikana kwa bei cheap
Mdau aliyekuwa hapo ameniambia ni wote mwaka wa 1 hadi wa 3Hebu fafanua, unamaanisha college nzima kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa tatu ndo wametimuliwa au ni wale 100 waliotangazwa jana tu???