Hatimaye Vodacom yapunguza ukubwa wa vifurushi vya intaneti

mwembemdogo

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
2,282
1,251
Kweli hali imekuwa tete Kwa watumiaji wa mtandao wa Vida kutokana Na vifurushi vya intaneti kupunguzwa licha ya bei kuwa ile ile.Kifurushi cha sh. 1000 kilikuwa in Mb 500 lakini sasa in Mb 350 Na cha sh 500 kilikuwa Mb 150 sasa ni Mb 130 hakika mateso kila kona sijui watanzania maendeleo tutayapataje kama hata njia za mawasiliano zimebana.Haya watanzania shime tuchape Kazi.CCM oyeee
 
Ni kweli Voda Wangese sana sh 2000 sasa ni Gb 2, sh 1000 sasa ni Mb 350, sh 500 Mb 130 kwaiyo wanatulazimisha tuweke 2000 kwa lzm
 
Tigo nao wamepunguza yaan hii mitandao ni jipu maana hawatujulishi ni sababu gani imefanya bundle zipande huu ni wizi mtupu mbona mambo mengine wanatujurisha
 
Airtel nao kifurushi cha wiki kilikuwa 3000 unapata 1Gb sasa hivi kwa 3000 unapata 500Mb, huwa wanaambiana!
 
Kweli hali imekuwa tete Kwa watumiaji wa mtandao wa Vida kutokana Na vifurushi vya intaneti kupunguzwa licha ya bei kuwa ile ile.Kifurushi cha sh. 1000 kilikuwa in Mb 500 lakini sasa in Mb 350 Na cha sh 500 kilikuwa Mb 150 sasa ni Mb 130 hakika mateso kila kona sijui watanzania maendeleo tutayapataje kama hata njia za mawasiliano zimebana.Haya watanzania shime tuchape Kazi.CCM oyeee
Nenda halotel sh 1000 unapata GB 1.1
 
Ndugu zangu, marafiki , maadui pamoja Na vijana wenzangu wa Lumumba nachukua fursa kuwatangazia kuwa nimehama rasmi mtandao wa Voda Na ccm Na kujiunga Na Halotel.
 
Halafu mb zinateketea moto wa gesi cha mtoto
wale wahuni, mimi niliweka vifurushi vya 1500 ndani ya masaa mawili kwa alert za vifurushi mvimeisaha . wakati natumia browser yenye adblock za kutosha . Nikawapigia wakijibu gb zako bado zipo hizo message zitakuwa hitilafu za system.
 
K
Kweli hali imekuwa tete Kwa watumiaji wa mtandao wa Vida kutokana Na vifurushi vya intaneti kupunguzwa licha ya bei kuwa ile ile.Kifurushi cha sh. 1000 kilikuwa in Mb 500 lakini sasa in Mb 350 Na cha sh 500 kilikuwa Mb 150 sasa ni Mb 130 hakika mateso kila kona sijui watanzania maendeleo tutayapataje kama hata njia za mawasiliano zimebana.Haya watanzania shime tuchape Kazi.CCM oyeee
Acha ulimbukeni hujalazimishwa kuwa mteja wa Vodacom
 
wale wahuni, mimi niliweka vifurushi vya 1500 ndani ya masaa mawili kwa alert za vifurushi mvimeisaha . wakati natumia browser yenye adblock za kutosha . Nikawapigia wakijibu gb zako bado zipo hizo message zitakuwa hitilafu za system.
Duu mimi nilikuwa najiunga kile cha wiki lakini kikawa hakimalizi siku mbili
 
Back
Top Bottom