Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #281
Hao ndio wametumwa kubaribu mada hiiUnafanya kazi Vodacom?
Hao ndio wametumwa kubaribu mada hiiUnafanya kazi Vodacom?
Hahahahaaa sio kwa Tanzania hii mkuuhongera mkuu hope watakutafuta
Mhhh, bongo hii hii mkuu au Ulaya?Upo vizuri,itabd wakulipe japo % fulani.
Mimi wangenilipa kabisaa hata 15Million siyo mbayaMhhh, bongo hii hii mkuu au Ulaya?
tupe ujuzi wa kusajil copy rightHuwezi wadai sababu hiyo ilikuwa Ni idea yao ya siku nyingi na minute za kikao wanazo toka mwaka juzi ila wewe ulisikia kwa mtu wa Vodacom kwenye baa uka post humu Kama idea Yako wakati ni.kitu kilikuwa ofisini kinafanyiwa Kazi
Namba mbili Ni wajibu wa kampuni yeyoye kushughulikia malalamiko ya wateja kwa hiyo unataka kuwashtaki kwa kushughulikia malalamiko Yako au? Mfano duka linachelewa Kufunguliwa ukalalamika kwa hiyo wakiwahi kufungua kutatua kero Yako unatakiwa kuwashtaki kuwa wamechukua idea Yako?
Tatu hiyo idea Yako ilikuwa na copy right ?uliisajili?
Mhhh, sawa mkuuKama hukusajili linakuaje wazo lako?
Huwezi wadai sababu hiyo ilikuwa Ni idea yao ya siku nyingi na minute za kikao wanazo toka mwaka juzi ila wewe ulisikia kwa mtu wa Vodacom kwenye baa uka post humu Kama idea Yako wakati ni.kitu kilikuwa ofisini kinafanyiwa Kazi
Namba mbili Ni wajibu wa kampuni yeyoye kushughulikia malalamiko ya wateja kwa hiyo unataka kuwashtaki kwa kushughulikia malalamiko Yako au? Mfano duka linachelewa Kufunguliwa ukalalamika kwa hiyo wakiwahi kufungua kutatua kero Yako unatakiwa kuwashtaki kuwa wamechukua idea Yako?
Tatu hiyo idea Yako ilikuwa na copy right ?uliisajili?
Nilipiga saaaana hii number bila mafanikiopiga namba 100.
Tena ni lile povu la sabuni ya ungaPovu
Pole sana kijanaNilikosa pesa ya usajili. Mtaani kugumu
Hawana uungwana huo hata siku mojaKama ni waungwana
Waroho sana VodaMimi wangenilipa kabisaa hata 15Million siyo mbaya
Tena saaana mkuuWaroho sana Voda