Asa'rile
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 438
- 120
Ile kauli kali iliyotolewa kwa msisitizo na Mh. John Joseph, Kwamba Tanzania ya Magufuli itakuwa ni ya viwanda.
imeanza kutekelezwa kwa hofu kuu na mchakamchaka balaa.
Kwa utafiti mdogo tu , vile viwanda vilivyokuwa vimeotesha nyasi hadi milangoni, sasa hivi ni magreda yanapishana kama nyuki. maeneo ya Pugu Rd. Mwenge, (sam Nujoma Rd) ni mchakamchaka !
BRAVO....JJP Magufuli
imeanza kutekelezwa kwa hofu kuu na mchakamchaka balaa.
Kwa utafiti mdogo tu , vile viwanda vilivyokuwa vimeotesha nyasi hadi milangoni, sasa hivi ni magreda yanapishana kama nyuki. maeneo ya Pugu Rd. Mwenge, (sam Nujoma Rd) ni mchakamchaka !
BRAVO....JJP Magufuli