Hatimaye ujenzi wa stendi ya mabasi (Mbezi Luis) yaendayo mikoani yaanza kujengwa

Tunaomba hiyo stendi iwe na viwango vya kimataifa kulingana na umuhimu wake .
Ni wakati wa fursa sasa kujenga mahoteli,mall, nk ktk maeneo ya kibamba,luguruni,kiluvya nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi kazi
IMG_20190219_142526.jpeg
 
Ila mi naona lile eneo ni DOGO sana, sidhani kama stand itakuwa kubwa. Kwa vyovyote itakuwa ndogo kuliko ya ubungo
 
Back
Top Bottom