joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
MY TAKE: Wale waliokua wanabisha kwamba "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na Corona" bado Wapo?. Tanzania baba lao, Magufuli akili kubwa Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The sleeping giant is finally awakening hadi imepelekea wanoko wameanza kuweweseka.Tanzania, the sleeping giant of Africa.
Wanaenda kumpokea Lissu bila barakoaWale chadema si ndo waliokuwa wanapinga...kumpokea lisu naona wakadhibitisha nchi haina Corona.....Hao kina Uhuru ni Lazima wasaliti Amri.
Huu ni upotoshaji wa wazi. Kenya, kwa hotuba ya Kenyatta leo:
1. Vilabu vyote vya pombe vimepigwa kufuli.
2. Curfew ya usiku 2100 - 0500 iko kazini
3. Anasisitiza kutojidanganya kama nchi zisizokuwa kuwa na demokrasia kuwa hawana Corona. Anasema hawana Corona vipi?
4. Nk, nk.
Yote haya kwa siku 30.
Haya ndiyo ya Magufuli?
Mbona mnaweweseka hivyo hata kwa ku fake news?
Source BBC Swahili leo.
Utamfanya huyi jiwe la joto atokwe na povu.Mfano wa kuigwa na nani?. Curfew bado iko, maeneo ya burudani na vileo bado yametingwa, shule bado zimefungwa, kuvaa barakoa kwa umma ni lazima, kupima na kuwalaza waathiriwa n.k. kwa yale nimetaja ni kinyume na msimamo wa jiwe!..
MY TAKE: Wale waliokua wanabisha kwamba "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na Corona" bado Wapo?. Tanzania baba lao, Magufuli akili kubwa Sana.
MY TAKE: Wale waliokua wanabisha kwamba "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na Corona" bado Wapo?. Tanzania baba lao, Magufuli akili kubwa Sana.
makali ya Coronavirus yameanza kuwafanya kutafuta mchawi!"Sisi kama taifa, hatuna nguvu ya kuficha chochote...kuna wengine ambao wana huo uwezo lakini sisi twajivunia kuwa demokrasia" - President Uhuru Kenyatta
#UhurusToughChoicesView attachment 1518774
Achana nao hawa, hutawaelewa virahisi. Ukisikia Tz ni kichwa cha mwendawazimu usije ukadhani wanasingiziwa. Kwao Corona sio 'health issue' ni security issue na political issue, yaani ni suala la kiusalama na kisiasa sio kiafya. Mmoja wao akidhubutu kutoa ripoti zinazokinzana na za serikali kuhusu Corona anajipata matatani.Mfano wa kuigwa na nani?. Curfew bado iko, maeneo ya burudani na vileo bado yametingwa, shule bado zimefungwa, kuvaa barakoa kwa umma ni lazima, kupima na kuwalaza waathiriwa n.k. kwa yale nimetaja ni kinyume na msimamo wa jiwe!..
Hamkusikia Uhuru aliposema kwamba watu walitegemea kwamba ningetangaza total lock down kutokana na hali ya maambukizi ilivyo lakini hilo haliwezikani, hiyo ni sera ya nani kukataa kutangaza knockdown kama sio Magufuli?Achana nao hawa , hutawaelewa virahisi. Ukisikia Tz ni kichwa cha mwendawazimu usije ukadhani wanasingiziwa. Kwao Corona sio 'health issue' ni security issue na political issue, yaani ni suala la kiusalama na kisiasa sio kiafya. Mmoja wao akidhubutu kutoa ripoti zinazokinzana na za serikali kuhusu Corona anajipata matatani. Magazeti nayo yanafungiwa, wataalamu wa afya kwa uoga wamebaki kimya. Mwendo ni wa kutumia janga la Corona kutafuta kiki za kisiasa na kumsifia 'mtakatifu' kwa vitu vya kipumbavu na sanasana kuwakomoa wapinzani. Imekuwa ni production moja kali ya filamu ya comedy.
Hamkusikia Uhuru aliposema kwamba watu walitegemea kwamba ningetangaza total lock down kutokana na hali ya maambukizi ilivyo lakini hilo haliwezikani, hiyo ni sera ya nani kukataa kutangaza knockdown kama sio Magufuli?
Mwenzi mmoja uliopita Uhuru alisema kwamba baada ya siku 21 kama maambukizi yataongezeka kwa kasi atalazimika kurudisha counties za Nairobi, Mombasa katika "knockdown", iweje amebadilisha uamuzi huo wakati hali ya maambukizi ndio inazidi kuwa mbaya zaidi?
Wacheni kujaribu kuficha, ukweli ni kwamba Uhuru anaiga Magufuli hatua kwa hatua, hakukuwa na sababu yoyote ya kutokurudisha Nairobi Katina "lock down" kama alivyoahidi, iweje kipindi hiki ambacho maambukizi ndio yaneongezeka Kwa kasi anafikiria kufungua anga la Kanya na kuruhusu watalii?, huko ni kumuiga Magufuli.
Vipi huyu pia anaficha ukweli?
Mfano wa kuigwa na nani? Curfew bado iko, maeneo ya burudani na vileo bado yametingwa, shule bado zimefungwa, kuvaa barakoa kwa umma ni lazima, kupima na kuwalaza waathiriwa n.k. kwa yale nimetaja ni kinyume na msimamo wa jiwe!..