King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,632
- 68,560
waziri wa mambo ya ndani kasema hata kama wakipata ukweli hawatatoa taarifa hadharani.SASA KWA NINI WANAFUJA FEDHA ZA WANANCHI KUCHUNGUZA KITU AMBACHO HAKITATOA FAIDA KWA JAMII,kwani hata wakipata ukweli hawatachukua hatua zozote.TENA mbona wziri alisema kama mh SITA kama ana ushahidi autoe.hata wiki haijaisha wanafanya uchunguzi kwani wataanzia wapi wakati hawana data zozote,huu ni usanii tu.taarifa wanazo.
Mkuu usiogope kauli ya nahodha hapa ni JF watu watarusha report yote page ya kwanza hadi ya mwisho,we subiri tu