Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
GOD FORBID..
Zile mbwembwe za ooooh, sisi ni dona kantre hatimaye zinaenda kuwa tested hata kabla ya mwaka kupita...
Tunasubiri kuona sasa uwezo na mbwembwe za Waziri Kabudi na kile kilichoitwa "Tanzaid" kupambana na Kimbunga Kenneth kinachotarajiwa kupiga mikoa ya kusini - tusiambiwe eti "hamkunichagua ili nilete Kimbunga"
Zile mbwembwe za ooooh, sisi ni dona kantre hatimaye zinaenda kuwa tested hata kabla ya mwaka kupita...
Tunasubiri kuona sasa uwezo na mbwembwe za Waziri Kabudi na kile kilichoitwa "Tanzaid" kupambana na Kimbunga Kenneth kinachotarajiwa kupiga mikoa ya kusini - tusiambiwe eti "hamkunichagua ili nilete Kimbunga"