Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,247
- 5,315
Wakubwa mko poa?
Leo jamaa kaingiza fedha ila cha kusikitisha hakuna badiliko lolote kwenye salary, inauma sana, sikuamini kama mwaka utakatika bila ya kupewa haki yetu ya kikatiba.
Ila poa wacha tuisome ili akili zitukae sawasawa kwa 2020, happy 2017.
Leo jamaa kaingiza fedha ila cha kusikitisha hakuna badiliko lolote kwenye salary, inauma sana, sikuamini kama mwaka utakatika bila ya kupewa haki yetu ya kikatiba.
Ila poa wacha tuisome ili akili zitukae sawasawa kwa 2020, happy 2017.