Hatimaye Tumbili kajulikana!

FUSO

JF-Expert Member
Nov 19, 2010
31,553
37,711
Wanaukumbi,

Sifa Kuu mbili za mnyama Tumbili:

Tumbili ni mnyama anayejifanya mwerevu sana kuliko wanyama wengine wote mule msituni. Sifa kuu za Tumbili ni mbili tu
1. Uvivu - mnyama huyu hajishughulishi kabisa kutafuta kazi ya kujipatia riski yake msituni, kazi yake ni kupiga soga akisubiri wenzake wapike ale.

2. Wizi - Mnyama huyu kwa sababu ya uvivu wake hapo juu , njaa ikimpata basi huvizia mashambani ya watu na kuanza kuiba vyakula.

Tukirudi kwenye hili sakata letu la Tageta ESCROW, kuna watu walifikia pahala wakapeana sifa za mnyama huyu, wengi wetu hatukupenda kabisa watu wazima kufikia hatua ile, tuliamua kukaa kimya ili hoja zichambuliwe na hatimaye tujue nani hasa mwenye sifa nadra za kuwa kama mnyama huyu anayefijanya mjanja kumbe kichwani hamnazo.

Sasa kwa kauli moja tumeshamjua ni yupi mweye sifa za mnyama huyu kati ya wale waheshimiwa wawili.

HOJA: Ukweli una tabia ya kucheleweshwa tu, lakini lazima ujulikane tena mchana kweupee peee!!!
 
Tumbili atabaki kuwa tumbili, na mwizi ni mwizi tu.
Lakini ni wazi tumbili walikuwa wengi na wameuelemea mbuyu wa wezi.
 
Tumbili ni yuleyule aliyetajwa, hawezi kubadilika

Hivi simba akivaa ngozi ya kondoo akafanikiwa kuwadanya swala na mbuzi kuwa yeye ni kondoo hakun siku mbuzi na swala watakuja mgundua kuwa yule ni simba sio chui? Nijuavyo mimi simba lazima njaa itamuuma na ataanza kuwatafuna swala na mbuzi kwa zamu kwa kuwa ndio alivyo. Watamjua tu
 
Hivi samba akiaa ngozi ya kondoo akafanikiwa kuwadanya swala na mbuzi kuwa yeye ni kondoo hakun siku mbuzi na swala watakuja mgundua kuwa yule ni simba sio chui? Nijuavyo mimi simba lazima njaa itamuuma na ataanza kuwatafuna swala na mbuzi kwa zamu kwa kuwa ndio alivyo. Watamjua tu
Hapo utakuwa umeandika kwa kilugha chenu
 
Ha ha ha!!! Tumbili na mwizi!!!!
Wanaukumbi,

Sifa Kuu mbili za mnyama Tumbili:

Tumbili ni mnyama anayejifanya mwerevu sana kuliko wanyama wengine wote mule msituni. Sifa kuu za Tumbili ni mbili tu
1. Uvivu - mnyama huyu hajishughulishi kabisa kutafuta kazi ya kujipatia riski yake msituni, kazi yake ni kupiga soga akisubiri wenzake wapike ale.

2. Wizi - Mnyama huyu kwa sababu ya uvivu wake hapo juu , njaa ikimpata basi huvizia mashambani ya watu na kuanza kuiba vyakula.

Tukirudi kwenye hili sakata letu la Tageta ESCROW, kuna watu walifikia pahala wakapeana sifa za mnyama huyu, wengi wetu hatukupenda kabisa watu wazima kufikia hatua ile, tuliamua kukaa kimya ili hoja zichambuliwe na hatimaye tujue nani hasa mwenye sifa nadra za kuwa kama mnyama huyu anayefijanya mjanja kumbe kichwani hamnazo.

Sasa kwa kauli moja tumeshamjua ni yupi mweye sifa za mnyama huyu kati ya wale waheshimiwa wawili.

HOJA: Ukweli una tabia ya kucheleweshwa tu, lakini lazima ujulikane tena mchana kweupee peee!!!
 
Wanaukumbi,

Sifa Kuu mbili za mnyama Tumbili:

Tumbili ni mnyama anayejifanya mwerevu sana kuliko wanyama wengine wote mule msituni. Sifa kuu za Tumbili ni mbili tu
1. Uvivu - mnyama huyu hajishughulishi kabisa kutafuta kazi ya kujipatia riski yake msituni, kazi yake ni kupiga soga akisubiri wenzake wapike ale.

2. Wizi - Mnyama huyu kwa sababu ya uvivu wake hapo juu , njaa ikimpata basi huvizia mashambani ya watu na kuanza kuiba vyakula.

Tukirudi kwenye hili sakata letu la Tageta ESCROW, kuna watu walifikia pahala wakapeana sifa za mnyama huyu, wengi wetu hatukupenda kabisa watu wazima kufikia hatua ile, tuliamua kukaa kimya ili hoja zichambuliwe na hatimaye tujue nani hasa mwenye sifa nadra za kuwa kama mnyama huyu anayefijanya mjanja kumbe kichwani hamnazo.

Sasa kwa kauli moja tumeshamjua ni yupi mweye sifa za mnyama huyu kati ya wale waheshimiwa wawili.

HOJA: Ukweli una tabia ya kucheleweshwa tu, lakini lazima ujulikane tena mchana kweupee peee!!!


Hapa umeniacha hoi! Kwa hiyo yule jaji ndo tumbili halisi?
 
Muhongo alijifunzia wapi utumbili, ana njaa kiasi gani mpaka anadhalilishwa, anatukanwa. Kwani alizaliwa waziri? Muhongo asinishawishi kumwita Tumbili.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom