kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,045
- 1,425
Pamoja na Kusukumizwa Nje Ya Mashindano ya CL Ya CAF na kubakia Kuwa 'Wapenzi Watazamaji' huku ikiziacha timu Za Azam, Biashara na Simba zikiendelea kwa hatua inayofuata. Mashabiki na Wapenzi Wa Yanga wameonekana maeneo mbalimbali Ya nchi Wakisherehekea Ushindi walioupata TP Mazembe leo dhidi Ya Simba kwa Mkapa.
Ushindi huo umewakosha na kuwasahaulisha kabisa kuwa Inawabidi kusubiri tena mpaka 2022 Panapo majaaliwa Kushiriki tena michuano Ya CAF.
Pole nyingi ziende sio tu Kwa Yanga bali Kwa Bw. Damas Ndumbalo kwa Usumbufu Uliojitokeza Kutia Saini mkataba Wa 'Visit Kilimanjaro na Zanzibar' ilhali timu hiyo ikiwa haina uwezo wa Kuutendea haki Mkataba huo...!
Salute Kwao Bana Kongo Mazembe Kwa Faraja hii Kwa Yanga.
Ushindi huo umewakosha na kuwasahaulisha kabisa kuwa Inawabidi kusubiri tena mpaka 2022 Panapo majaaliwa Kushiriki tena michuano Ya CAF.
Pole nyingi ziende sio tu Kwa Yanga bali Kwa Bw. Damas Ndumbalo kwa Usumbufu Uliojitokeza Kutia Saini mkataba Wa 'Visit Kilimanjaro na Zanzibar' ilhali timu hiyo ikiwa haina uwezo wa Kuutendea haki Mkataba huo...!
Salute Kwao Bana Kongo Mazembe Kwa Faraja hii Kwa Yanga.