Hatimaye Toilet paper za Vyoo vya Ubungo Terminal zapakwa Pilipili

Na kama ilianza kumuwasha wakati yuko kwenye daladala, hawezi kujikuna...atakuwa anatoa machozi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu watu wakimuuliza kwanini jibu lake Sasa atasema analia sababu anawaonea huruma nchi zenye maambukizi ya korona! Anasikitika korona inavyowakorona wkt huohuo nayeye akikoroniwa na pili kichaa kwenye puru😂😂
 
Back
Top Bottom