Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,125
- 2,859
Kwani mlevi wenu hajapiga magoti ? Unakumbuka kauli ya bwana wenu cjui ndio wazir wa afya ana hata akili sasa kijitapa zimepita cku 3 tu chapombe kaomba poo oooh Watanzania wataingia bila ya kukaa karantiniSi mlisema kuwa mtatucharaza viboko. Mlisema kuwa mtatufunza adabu. Mlisema KQ haitatua Dar hadi tupige magoti. Sasa tena mnasongeza goli. Baba yenu ukanda huu anajulikana