Pekundu ndipo paliponishtua. Wengi naona hawapasomi au mimi ndiye nasoma visivyo?Jana tarehe 30 april Ndg Subhash Patel kupitia kwa wakili wake Julius Lugazya kawafungulia kesi wahariri na magazeti yao ya nipashe na guardian,wakurugenzi wa radio uhuru na ITV pamoja na mwenyekiti wao Mengi kwa kashfa za kumuita fisadi papa na kudai alipata mchuchuma kwa mizengwe.Anawataka waombe radhi ndani ya siku saba na wamlipe fidia ya shs bilioni kumi
No no no no no hapana huyu bwana hajapata kuwa mweka hazina wa mtandao hata siku moja ila ni rafiki mkubwa wa tangu utotoni wa muungwana.
Mzee Mengi anazungumza kwa 'metaphor' amewataja mafisadi papa ambao ni dam dam na JK, kwa lugha nyingine Mengi amemtaja JK kama mlinzi wa mafisadi papa,
aminini msiamini, this time kibao kinamgeukia Mengi, lets wait and see.
Japo Mengi ni Mafia, mapapa ni mamafia na JK nyuma yao!.
Pekundu ndipo paliponishtua. Wengi naona hawapasomi au mimi ndiye nasoma visivyo?
Usitishike mkuu, hiyo ni move ya makusudi kaamua kufanya huyu ponjolo. Si
umeona jinsi Mengi alivyosakamwa kuwa katumia vyombo vyake vya habari wakati ile press conference vyombo vingi vya habari vilikuwepo? Sasa fanya hivi kwa sababu redio uhuru ni tawi la mafisadi (CCM) wameshahabarishwa kuwa kuna kesi inakuja fidia itakapoamuliwa itolewe wao watakili na kulipa(malipo hewa). Nani atafuatilia? Ponjolo atatoka nakusema Uhuru wameshalipa inabaki ngoma kwa hao wengine. Na kutokana na post nilizosoma huko juu lolote linaweza tokea. Ole wetu wabongo. TWAFAAAAA!
ni kweli huyu ni rafiki yake toka utotoni,actually huyu Subashi ndiye aliyekodishiwa kwa mkataba wenye Utata jengo la UVCCM Makao makuu pale Lumumba na Kampuni yake ya Ujenzi inayoitwa ESTEEM ndiyo inajenga jengo hilo la vijana ,jengo la iliyokuwa Gogo hotel ,Upanuzi wa barabara ya Ali Hassan Mwinyi kwenda Tegeta na wanajenga nyumba za mwenyekiti hapo migombani street na Kijiji cha Muungwana katika vijilima vya msoga.
Wakati wa mtandao alichangia kiasi kikubwa cha fedha lakini hakuwa mweka hazina..mweka hazina alikuwa Rostam na msaidizi alikuwa Karamagi(what a team).
vifaa vyote vya kampeni ya CCM vinakaa kwenye mago downs ya subash pale mwenge MM STEEL,na taarifa za karibuni wameshaleta kofia na T shirt kwa ajili ya 2010 na vyote viko pale.
Mzee Mengi anazungumza kwa 'metaphor' amewataja mafisadi papa ambao ni dam dam na JK, kwa lugha nyingine Mengi amemtaja JK kama mlinzi wa mafisadi papa,
aminini msiamini, this time kibao kinamgeukia Mengi, lets wait and see.
Japo Mengi ni Mafia, mapapa ni mamafia na JK nyuma yao!.
Pekundu ndipo paliponishtua. Wengi naona hawapasomi au mimi ndiye nasoma visivyo?
I hope kuna wazalendo who are supporting mengi behind the scenes.hizi wiki zijazo kuna dalili za michezo michafu sana!
- Yaaani fisadi papa aombwe radhi na wananchi kwa kuwa na ushaidi wa ufisadi wake? Hawa wezi kweli wana kiburi sana hawa, hivi wanakitoa wapi hiki kiburi?
FMES!
Wewe, Estim Construction ni ya Subash? Basi nimenyoosha mikono!ni kweli huyu ni rafiki yake toka utotoni,actually huyu Subashi ndiye aliyekodishiwa kwa mkataba wenye Utata jengo la UVCCM Makao makuu pale Lumumba na Kampuni yake ya Ujenzi inayoitwa ESTEEM ndiyo inajenga jengo hilo la vijana ,jengo la iliyokuwa Gogo hotel ,Upanuzi wa barabara ya Ali Hassan Mwinyi kwenda Tegeta na wanajenga nyumba za mwenyekiti hapo migombani street na Kijiji cha Muungwana katika vijilima vya msoga.
Nachoshindwa kuelewa mimi ni..................
a]Mnajua kama hawa majamaa ni mafisadi papa,hakuna anayebisha....
b]Mkuu wa kaya ni mtu wao,hakuna anayebisha.....
c]Hii mifisadi papa hata iende mahakamani haitashindwa,hakuna anyebisha.......
Kwanini mnaendele kupiga kelele zisizokuwa na msingi?
coz kwangu ni kama kulipiga jiwe unalojua halisikii........ni unapoteza muda wako tu kwami jiwe halisikii maumivu yoyote right........
Nionavyo mimi ni kuitisha mgomo wa nchi nzima kuanzia mtoto wa shule ya msingi mpaka maofisi yote ya serikali.......
kwangu that is the best solution rather than kupiga kelele mafisadi,mafisadi...................tushajua ndio sasa...............
Wewe, Estim Construction ni ya Subash? Basi nimenyoosha mikono!
jana tarehe 30 april ndg subhash patel kupitia kwa wakili wake julius lugazya kawafungulia kesi wahariri na magazeti yao ya nipashe na guardian,wakurugenzi wa radio uhuru na itv pamoja na mwenyekiti wao mengi kwa kashfa za kumuita fisadi papa na kudai alipata mchuchuma kwa mizengwe.anawataka waombe radhi ndani ya siku saba na wamlipe fidia ya shs bilioni kumi