NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Kwa kifupi huyo ni Chama part 2.
Sababu za kumnyofoa ?Hans pope hawajamnyofoa tu pale simba
Yupo kwao zimbabweHivi chikwende alienda wapi
Muda utaongeaKiungo cha kwenye Biriani.
Inshort nmecheki clips zake Ni wale madogo wa mbwembwe nyingi zisizokuwa Na faida kama Neymar vile
Tayari yupo nchiniKama kweli basi Simba Sc wamepata mchezaji mzuri.
Hawa wachezaji wa nchi maskini kabisa hawana uhakika. Malawi bado wanaviwango duni.Kama kweli basi Simba Sc wamepata mchezaji mzuri.
... Wafikirie wachezaji wa ligi za juu zaidi. Vinginevyo tutakuwa wa kuishia robo tu .
Yuko kwa Simba ama kwa Yanga?Tayari yupo nchini
Tunajamboooletuu KESHOOClub ya Simba imepafanikiwa kumnasa kinda wa timu ya Nyssa big bullet ya nothing Malawi kwa mkataba wa miaka mitatu. Dili hilo limefanikishwa na Hans Pope Zakaria aliyetua Malawi kukamilisha dili hilo.
Source ni mimi mwenyeNyoooooooooo
Utaaibika na hilo jambo lenu.Tunajamboooletuu KESHOO
UJETENA EEH NA STORY ZA ALINACHA
Mbona hatujamwona akisinya au safari hii wachezaji wa Simba wanasinya kimya kimya?Club ya Simba imepafanikiwa kumnasa kinda wa timu ya Nyssa big bullet ya nothing Malawi kwa mkataba wa miaka mitatu. Dili hilo limefanikishwa na Hans Pope Zakaria aliyetua Malawi kukamilisha dili hilo.
Source ni mimi mwenyewe.
Kwa hiyo wewe ni Hans Pope siyo! Na ole wako ionekane umewadanganya mbumbumbu wenzako. Utakiona cha mtema kuni.Club ya Simba imepafanikiwa kumnasa kinda wa timu ya Nyssa big bullet ya nothing Malawi kwa mkataba wa miaka mitatu. Dili hilo limefanikishwa na Hans Pope Zakaria aliyetua Malawi kukamilisha dili hilo.
Source ni mimi mwenyewe.
Utopolo wametufanyia umafia kwa Khalid Aucho ambae alitakiwa kuja kutengeneza pacha na Lwanga. Sasa sipati picha kiungo chao kikiwa na Mukoko, Aucho na Feisali. Mwenzenu ninaogopa sana, utopolo wanatumaliza jamaniNaskia utopolo wamefanya umafia wamepita nae
Mbona hatujamwona akisinya au safari hii wachezaji wa Simba wanasinya kimya kimya?
Nasikia utopolo wamefanya umafia wamepita nae
Vipi jambo lako bado lipoTunajamboooletuu KESHOO
UJETENA EEH NA STORY ZA ALINACHA
Chai nusu, kweli nusu. SawaClub ya Simba imepafanikiwa kumnasa kinda wa timu ya Nyssa big bullet ya nothing Malawi kwa mkataba wa miaka mitatu. Dili hilo limefanikishwa na Hans Pope Zakaria aliyetua Malawi kukamilisha dili hilo.
Source ni mimi mwenyewe.