Hatimaye Serikali imefanya kweli Hongera kwa kuzinduka

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Kwa muda wote nimekuwa nashangaa kusikia na kuona JK anaongozana na lundo la watu wanao jiita kuitangaza Tanzania . Wakapokewa na wasanii eti wanafanya Miss Tanzania London na tena kule kichochoroni Tottenham wanasema wanaitangaza Tanzania na Utalii wakati wanao hudhuria ni wabongo ambao wamekaa sana TZ hata Mikumi hawajawahi kukanyaga.

Nilikuwa najiuliza why we are behind kufanya matangazo tunakalia Usanii. Leo nimefarijika baada kusikia kwamba sasa matangazo yetu yako CNN US na CNN International yanakuja muda wowote . That is good an njia hii ni bora zaidi ya kuitangaza Tanzania badala ya kubeba washikaji kwa jina la kwenda kuitangaza TZ.
 
kuitangaza tanzania kiutalii au watu waje kuwekeza ? kwanza hapo cnn nikimsikia lou dobbs tu nabadirisha channel sasa mie nadhani sitoweza kuyaona hayo matangazo !
 
thanks mkuu Lunyungu, its a good step waoengeze hadi CNBC, SABC africa tuone na vivutio vyetu si tu vya Kenya.
JF juu tunapata habari kabla hazijatangazwa.
 
mnadhani wadanganyika watafaidi hayo mapato kutokana na hayo matangazo iwapo misaada tu ya BURE inakuwa dhulma ?
 
kada i thik ni utalii,(lets give them credit when they deserve) maana kama uwekezaji kina JK ndio wanatatafuta wawekezaji kwenye ziara zao. Utalii walau utasaidia waTZ wenye vikampuni vya utalii kupata mapato hivyo wakainua hali za familia zao.
 
Kwa muda wote nimekuwa nashangaa kusikia na kuona JK anaongozana na lundo la watu wanao jiita kuitangaza Tanzania . Wakapokewa na wasanii eti wanafanya Miss Tanzania London na tena kule kichochoroni Tottenham wanasema wanaitangaza Tanzania na Utalii wakati wanao hudhuria ni wabongo ambao wamekaa sana TZ hata Mikumi hawajawahi kukanyaga.

Nilikuwa najiuliza why we are behind kufanya matangazo tunakalia Usanii. Leo nimefarijika baada kusikia kwamba sasa matangazo yetu yako CNN US na CNN International yanakuja muda wowote . That is good an njia hii ni bora zaidi ya kuitangaza Tanzania badala ya kubeba washikaji kwa jina la kwenda kuitangaza TZ.



In short nchi haipati FDI kwa sababu ya TTB na hao wanaojiita vinara wa brand Tanzania

hii ni simple economics 101

Hatuhitaji kuspend ma bilioni kutangaza nchi dunia ya leo hakuna tajiri au corporation isiyojua emerging markets ziko wapi. Niambie umeshaona Botswana inajitangaza?
 
Lunyungu,

Wanaojua marketing wanasema "Word of the mouth" ina contribute 80
% ya mafanikio kwenye advertisements.

Hawa Watanzania popote walipo na kupitia njia mbalimbali ikiwemo mikutano, miss Tanzania nk. huenda wanaitangaza Tanzania zaidi ya hayo matangazo kwenye CNN.

Kikubwa zaidi ni huduma zetu huko nyumbani, mtalii mmoja akija TZ na kufurahi basi jua kuna watalii wengine zaidi ya watano watafuata lakini mtalii mmoja akiudhiwa basi potential watalii kama 10 hivi tumeshawapoteza.

Ni sawa kujitangaza CNN na kwenye vyombo vingine vya kimataifa
lakini mimi naamini tukitumia nguvu kutengeneza mazingira mazuri huko nyumbani, basi faida yake itakuwa kubwa zaidi.
 
Leo nimefarijika baada kusikia kwamba sasa matangazo yetu yako CNN US na CNN International yanakuja muda wowote . That is good an njia hii ni bora zaidi ya kuitangaza Tanzania badala ya kubeba washikaji kwa jina la kwenda kuitangaza TZ.

Mkuu Lunyungu,

Respect, big progress kwamba sasa mkuu umemsifia Muungwana, japo kwa mara ya kwanza, jana nilisema mkuu Mtanzania we are making progress sasa hiii fourm,

Kuhusu credit ulizotoa, ndio niliyoyasema majuzi kuwa nilimuacha mkulu anajitayrisha kwenda CNN, nikasema kuwa pamoja na UN, mkulu safari hiii alikwenda huko NY na kundi kubwa kuanzia waziri wa utaliii na katibu wake, ndio hasa kazi kubwa walioifanya, maana last week kuna siku walikutana na matajiri wa kupindukia duniani ambao walimwambia Muungwana kuwa wana hela nyingi ambazo hawaelewi cha kuzifanyia kwa hiyo awape changamoto nini cha kuwekezea bongo,

kwa hiyo wakuu ndio maana binafsi nilibariki Muungwana kutonana na wabongo NY, kwa sababu hizi shughuli niliziona mwenyewe jinsi Muungana anavyohangaika asubuhi mpaka saa tatu usiku, I mean what else can we ask kutoka kwa rais wetu?

Ahsante Mkuu Lunyungu kwa kutoa credit where it is due!
 
Mkuu Lunyungu,

Respect, big progress kwamba sasa mkuu umemsifia Muungwana, japo kwa mara ya kwanza, jana nilisema mkuu Mtanzania we are making progress sasa hiii fourm,

Kuhusu credit ulizotoa, ndio niliyoyasema majuzi kuwa nilimuacha mkulu anajitayrisha kwenda CNN, nikasema kuwa pamoja na UN, mkulu safari hiii alikwenda huko NY na kundi kubwa kuanzia waziri wa utaliii na katibu wake, ndio hasa kazi kubwa walioifanya, maana last week kuna siku walikutana na matajiri wa kupindukia duniani ambao walimwambia Muungwana kuwa wana hela nyingi ambazo hawaelewi cha kuzifanyia kwa hiyo awape changamoto nini cha kuwekezea bongo,

kwa hiyo wakuu ndio maana binafsi nilibariki Muungwana kutonana na wabongo NY, kwa sababu hizi shughuli niliziona mwenyewe jinsi Muungana anavyohangaika asubuhi mpaka saa tatu usiku, I mean what else can we ask kutoka kwa rais wetu?

Ahsante Mkuu Lunyungu kwa kutoa credit where it is due!

FMES,

Hata mimi namsifu Lunyungu kuona kwa mara ya kwanza kasifia kazi ya Muungwana. Pamoja na matatizo mengi ya serikali lakini kuna mambo wanafanya vizuri na lazima tuwasifu kama tunavyowalaumu kwenye mambo mengine wanayoboronga.
 
Kwa Kweli Tunapaswa Kuthamini Juhudi Za Muungwana Kwa Kile Anachokionesha Ktk Harakati Zake Za Kutafuta Maboresho Kwa Nchi Yetu... Shukran
 
tunataka vitendo na sio maneno,wamezungumza sana lakini vitendo hakuna.mimi siwezi kumpongeza mpaka nione badadiliko.usanii ni kazi yao hao.
 
LUNYUNGU

HABARI ZAKO

AHSANTE KWA TAARIFA HIZI NA NIBORA UNGETOA WALAU LINK YA TANGAZO MOJA TUONE KAMA KWELI AU UNGEJARIBU KUFANYA CAPTURE

LAKINI KWA KUONGEZEA KUNA NJIA NYINGI ZA KUTANGAZA UTALII SIO LAZIME TELEVISHENI KAMA WENGI WANAVYOPOTOSHA AU SIO TOVUTI PEKEE

TEMBELEA www.youtube.com HAPO HATA WEWE KAMA UNA FILAMU YAKO YA MIKUMI UNAWEZA KUWEKA SASA WATU KAMA TTB WALITAKIWA WATENGENEZE ACCOUNT HUMO NA WAWEKE PICHA ZA WANYAMA MBALI MBALI AMBAO WAKO KATIKA MBUGA ZETU

PIA WATU HAWA WANAWEZA KUJIUNGA KATIKA FORUMS NA SEHEMU ZINGINE ZA KISWAHILI NA KUWA NA VIPANDE VYAO VYA MATANGAZO TEMBELEA www.mambogani.com HII NI TOVUTI YA WAKENYA KUNA SEHEMU MAALUMU YA KUTANGAZA UTALII WA KENYA

AHSANTE
 
Shy,

well said, ndio maana ya JF kuwepo..........waserikali hupita humu na kuchukua mawazo na kuyafanyia kazi......................ni hapa hapa JF walioshauri haya mambo ya TZ kujitangaza ktk TV nk, sasa uwigo wa mawazo ukitanuka basi wee mwaga mawazo ya uhakika..............kama yanalipa nina uhakika yatafanyiwa kazi.

Hii mambo ya kebehi/kujifanya ujuaji wakati mwingine ndio vitu vinavyotu-let down........i.e. kuponda kila kitu wakati huleti mawazo mbadala ni NONESENSE im afraid!!
Nyinyi wasomi kama shule mlizosoma hazikuwasaidia kutoa mawazo ya kuisaidia Tanzania na watu wake on the ground....you better funga mdomo wako

Well done Mzee Lunyungu kwa kuliona hilo........peace!
 
kuitangaza tanzania kiutalii au watu waje kuwekeza ? kwanza hapo cnn nikimsikia lou dobbs tu nabadirisha channel sasa mie nadhani sitoweza kuyaona hayo matangazo !

...mzee huna karatasi nini?maana Lou Dobbs ni mwiba kwa watu kama nyie
 
LAKINI KWA KUONGEZEA KUNA NJIA NYINGI ZA KUTANGAZA UTALII SIO LAZIME TELEVISHENI KAMA WENGI WANAVYOPOTOSHA AU SIO TOVUTI PEKEE

Mkuu ndio kwanza tumeanza, I mean we had to start somewhere, na tutaendelea kusonga mbele pole pole, lakini at least tumeanza na rais analithamini hilo,

Pole pole baadaye tutafika huko kote mkuu, lakini one step at a time, na one step kwenye haya mambo ni a giant step na inahitaji pongezi kwa waliohusika, mpaka Mkuu Lunyungu ameyashitukia!

Respect Mkuu Lunyungu, on this!
 
lakini haya mambo ya kusikia matangazo ya tanzania kwenye cnn sijaanza kusikia jana wala leo, its been like 6-7 months now ! we'll see !
 
Kuitangaza Tanzania kupitia global tv channels ni muhimu sana. Tulitakiwa tuanze long time ago. Lakini sio mbaya hata hivyo. Nina hamu sana ya kuona content yake...informative, easy to understand, appealing, persuasive, etc.
 
FMES,

Hata mimi namsifu Lunyungu kuona kwa mara ya kwanza kasifia kazi ya Muungwana. Pamoja na matatizo mengi ya serikali lakini kuna mambo wanafanya vizuri na lazima tuwasifu kama tunavyowalaumu kwenye mambo mengine wanayoboronga.

Heshima yenu wakubwa,
hapa tupo wote kabisa,kwa mtaji huu tutafika wakuu.Kile kidogo tunachokiona na hata yale machache/mengi tuyaseme pia.

Alunta Kontinua
 
tunataka vitendo na sio maneno,wamezungumza sana lakini vitendo hakuna.mimi siwezi kumpongeza mpaka nione badadiliko.usanii ni kazi yao hao.

Mkuu,
Hata Roma haikujengwa siku moja.....taratibu mpaka tutafika mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom