hahaaAnamaanisha OBAMAGATE
Yeye apambane na hali yake tu. Alishawahi kusema ni kwa nini Obama hakuishughulikia hii Corona wakati yuko madarakani, wakati Corona imeibuka 2019.Muda mfupi baada ya Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama kumtuhumu Rais Donald Trump kuwa ameshindwa kuikabili COVID19
kwamba mbinu anazotumia hazijasaidia chochote hivyo ni miongoni mwa wanaopaswa kulaumiwa kwa vifo vingi vilivyotokea
Trump amemjibu kwenye mtandao wa fb..OBAMAGATE!
Sasa swali hapo kamaanisha nini? Au ndio kupanic?View attachment 1446376
Sent using Jamii Forums mobile app
Au anamaanisha kuwa Obama + Billigate wanamchafua?Anamaanisha OBAMAGATE
HahahahYeye apambane na hali yake tu. Alishawahi kusema ni kwa nini Obama hakuishughulikia hii Corona wakati yuko madarakani, wakati Corona imeibuka 2019.
Kwenye Obama weka Bill utapata maana yakeMuda mfupi baada ya Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama kumtuhumu Rais Donald Trump kuwa ameshindwa kuikabili COVID19
kwamba mbinu anazotumia hazijasaidia chochote hivyo ni miongoni mwa wanaopaswa kulaumiwa kwa vifo vingi vilivyotokea
Trump amemjibu kwenye mtandao wa fb..OBAMAGATE!
Sasa swali hapo kamaanisha nini? Au ndio kupanic?View attachment 1446376
Sent using Jamii Forums mobile app
yawezekana mkuuGate ana deal zake pia obama yumo, ila trump anakwenda kinyume na hawa matajiri.
Bilgate ana issue yake ya vaccination, nahisi trump ana fund upatikanaje wa tiba na sio chanjo.
Kuna daktari ambaye yupo kwenye kamati ya corona usa jina limenitoka lakini ni mshikaje wa gate na wanakwaruzana sana na trump
Mfano huyo daktari alipinga matumizi ya chroloquine, wakati trump alikua tayari kuruhusu itumike.
Obama na gate kuna deal wanataka kulipiga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anamaanisha Obama alilijua hii ishu toka yupo ila ilikua classified lkn hakuizuia so ni kashfa ya Obama
Sent using Jamii Forums mobile app