GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Mara kwa mara GENTAMYCINE nimekuwa nikipata wakati mgumu sana tena kutoka kwa Wana CCM wenzangu hapa Jamvini JamiiForums pale nikiwa ‘ neutral ‘ katika kutoa maoni / mawazo yangu ‘ Kuntu ‘ kabisa dhidi ya Chama changu ‘ pendwa ‘ cha CCM au dhidi ya Mwenyekiti wetu Taifa na Rais wa JMT Dr. Magufuli au hata kwa baadhi ya Viongozi wake.
Nilishawahi kusema hapa hapa hii ‘ Kauli ‘ kwamba ukiona Mtu anakusema au anakuambia ‘ ukweli ‘ bila ya Kukuonea aibu / haya hata kama ni Rafiki yako au Nduguyo au vyovyote vile basi jua ya kwamba huyo ndiye Mtu ‘ pekee ‘ kabisa anayekupenda na kukutakia kheri katika maisha yako tofauti na wale ‘ Wanafiki ‘ wengi ambao wanakuficha na kujifanya wanakupenda ila siku ‘ ukianguka ‘ tu ndiyo hao hao wanaanza Kukupiga ‘ Majungu ‘ na hata ‘ Kukucheka ‘ pia.
Leo wakati akitoa ‘ nasaha ‘ zake dhidi ya Viongozi walioapishwa baada ya ‘ Kuwateua ‘ Rais Dr. Magufuli mwenyewe kwa mdomo wake alisema hii ‘ Kauli ‘ kama yangu ambayo namnukuu hapa….” Siku zote ukiona Mtu anakuambia ukweli jua huyo anakupenda sana na hataki uharibikiwe hivyo nawaombeni mkachape Kazi vizuri na msiwe mnawachukia wale wanaowakosoeni kwani wanawajenga “….
Sasa ole wake kuanzia leo hii nimwone Mtu wa CCM akiwa na ‘ Kiherehere ‘ na Mimi GENTAMYCINE pale nikiwa nakosoa au nashauri jambo au namwambia Mtu / Kiongozi ukweli kutokana na yale ambayo nayaona dhidi yake au dhidi ya Chama changu cha CCM.
Akhsante sana na mno Rais wangu Dr. Magufuli.
Nawasilisha.
Nilishawahi kusema hapa hapa hii ‘ Kauli ‘ kwamba ukiona Mtu anakusema au anakuambia ‘ ukweli ‘ bila ya Kukuonea aibu / haya hata kama ni Rafiki yako au Nduguyo au vyovyote vile basi jua ya kwamba huyo ndiye Mtu ‘ pekee ‘ kabisa anayekupenda na kukutakia kheri katika maisha yako tofauti na wale ‘ Wanafiki ‘ wengi ambao wanakuficha na kujifanya wanakupenda ila siku ‘ ukianguka ‘ tu ndiyo hao hao wanaanza Kukupiga ‘ Majungu ‘ na hata ‘ Kukucheka ‘ pia.
Leo wakati akitoa ‘ nasaha ‘ zake dhidi ya Viongozi walioapishwa baada ya ‘ Kuwateua ‘ Rais Dr. Magufuli mwenyewe kwa mdomo wake alisema hii ‘ Kauli ‘ kama yangu ambayo namnukuu hapa….” Siku zote ukiona Mtu anakuambia ukweli jua huyo anakupenda sana na hataki uharibikiwe hivyo nawaombeni mkachape Kazi vizuri na msiwe mnawachukia wale wanaowakosoeni kwani wanawajenga “….
Sasa ole wake kuanzia leo hii nimwone Mtu wa CCM akiwa na ‘ Kiherehere ‘ na Mimi GENTAMYCINE pale nikiwa nakosoa au nashauri jambo au namwambia Mtu / Kiongozi ukweli kutokana na yale ambayo nayaona dhidi yake au dhidi ya Chama changu cha CCM.
Akhsante sana na mno Rais wangu Dr. Magufuli.
Nawasilisha.