Hatimaye Paula wa Kajala amepost wimbo wa Mme wake "Kelebe" aliomshirikisha Innoss b

Slowly

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
10,469
34,733
Baada ya Vannyboy mtu mbaya kuachia "lisong" akiwa amemshirikisha mega star from Kongo Innos b , goma linalokwenda Kwa jina la "KELEBE"ambalo kwa sasa ndo habar ya mjini....

Goma Hilo lililogonga views "kilo " na usheee ndani ya saa moja ,limechanja mbuga huko YouTube na sasa linatambaa pale karbu na kilele kama sio kileleni kabisa ndani ya masaa manane tangu litungue anga......

Katika hatua nyingine mrembo matata asiyeishiwa vituko mtoto mzuri mwenye zigo la haja Paula wa Kajala ameonyesha upendo wa dhati Kwa future husband wake Kwa kushow love baada ya kupost wimbo huo kwenye ukurasa wake wa Instagram.....

Endelea kuenjoy mziki mzur toka Kwa king of the beast , Vanny boy mtu mbaya ......

IMG_20210514_223317.jpg
 
Baada ya Vannyboy mtu mbaya kuachia "lisong" akiwa amemshirikisha mega star from Kongo Innos b , goma linalokwenda Kwa jina la "KELEBE"ambalo kwa sasa ndo habar ya mjini....

Goma Hilo lililogonga views "kilo " na usheee ndani ya saa moja ,limechanja mbuga huko YouTube na sasa linatambaa pale karbu na kilele kama sio kileleni kabisa ndani ya masaa manane tangu litungue anga......

Katika hatua nyingine mrembo matata asiyeishiwa vituko mtoto mzuri mwenye zigo la haja Paula wa Kajala ameonyesha upendo wa dhati Kwa future husband wake Kwa kushow love baada ya kupost wimbo huo kwenye ukurasa wake wa Instagram.....

Endelea kuenjoy mziki mzur toka Kwa king of the beast , Vanny boy mtu mbaya ......

View attachment 1785112
Huyu mtoto ajifunze kutoka kwa Wema Sepetu
 
Baada ya Vannyboy mtu mbaya kuachia "lisong" akiwa amemshirikisha mega star from Kongo Innos b , goma linalokwenda Kwa jina la "KELEBE"ambalo kwa sasa ndo habar ya mjini....

Goma Hilo lililogonga views "kilo " na usheee ndani ya saa moja ,limechanja mbuga huko YouTube na sasa linatambaa pale karbu na kilele kama sio kileleni kabisa ndani ya masaa manane tangu litungue anga......

Katika hatua nyingine mrembo matata asiyeishiwa vituko mtoto mzuri mwenye zigo la haja Paula wa Kajala ameonyesha upendo wa dhati Kwa future husband wake Kwa kushow love baada ya kupost wimbo huo kwenye ukurasa wake wa Instagram.....

Endelea kuenjoy mziki mzur toka Kwa king of the beast , Vanny boy mtu mbaya ......

View attachment 1785112
Huyu bora shule zifunguliwe aende akaanze A-level,naona kama anazidi kupotea kila siku.
 
Baada ya Vannyboy mtu mbaya kuachia "lisong" akiwa amemshirikisha mega star from Kongo Innos b , goma linalokwenda Kwa jina la "KELEBE"ambalo kwa sasa ndo habar ya mjini....

Goma Hilo lililogonga views "kilo " na usheee ndani ya saa moja ,limechanja mbuga huko YouTube na sasa linatambaa pale karbu na kilele kama sio kileleni kabisa ndani ya masaa manane tangu litungue anga......

Katika hatua nyingine mrembo matata asiyeishiwa vituko mtoto mzuri mwenye zigo la haja Paula wa Kajala ameonyesha upendo wa dhati Kwa future husband wake Kwa kushow love baada ya kupost wimbo huo kwenye ukurasa wake wa Instagram.....

Endelea kuenjoy mziki mzur toka Kwa king of the beast , Vanny boy mtu mbaya ......

View attachment 1785112
Kuna watu hawapendi haya mambo eti wanasikitikia future ya Paula 😂😂😂😂
 
Baada ya Vannyboy mtu mbaya kuachia "lisong" akiwa amemshirikisha mega star from Kongo Innos b , goma linalokwenda Kwa jina la "KELEBE"ambalo kwa sasa ndo habar ya mjini....

Goma Hilo lililogonga views "kilo " na usheee ndani ya saa moja ,limechanja mbuga huko YouTube na sasa linatambaa pale karbu na kilele kama sio kileleni kabisa ndani ya masaa manane tangu litungue anga......

Katika hatua nyingine mrembo matata asiyeishiwa vituko mtoto mzuri mwenye zigo la haja Paula wa Kajala ameonyesha upendo wa dhati Kwa future husband wake Kwa kushow love baada ya kupost wimbo huo kwenye ukurasa wake wa Instagram.....

Endelea kuenjoy mziki mzur toka Kwa king of the beast , Vanny boy mtu mbaya ......

View attachment 1785112
veri veri talanti we demu ni bharaa


Mziki huu unakoelekea

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom