Hatimaye Nimevunja mwiko...!

Sabry001

JF-Expert Member
Jun 28, 2011
1,064
353
Habari jukwaa la starehe! Bwana me niko hapa kuwaambia senkyuu kwa maushauri yenu ktk post yangu ya mwisho..in dilema...! Mnaikumbuka? Nimemaliza field salama, matokeo yamekuwa poa, hakuna kijana alienipata kati ya wa3 waliokuwa wanatishia amani na elimu yangu na above all mkuu wa shule amenipa katempo mpaka nirudi chuo. UTU WANGU UMESITIRIKA NA ZAIDI STAF YOTE IMENISALUTE CUZ KILA MDADA ANAEKUJAGA HAPA LAZMA ALIWE ILA ME NIMEVUNJA MWIKO...! Idumu JF, zidumu fikra CHANYA ZA wana JF wote....!
 
he heee mpe hongera mkuu wa chuo lol
simba mwenda pole ndo mla nyama....
rudi sasa hapo uanze kazi..uje na thread nyingine lol
 
he heee mpe hongera mkuu wa chuo lol<br />
simba mwenda pole ndo mla nyama....<br />
rudi sasa hapo uanze kazi..uje na thread nyingine lol
<br />
<br />
nirudi wapi wakati cjaondoka? Nije na thread nyingne ya nini? Saa nyingine we ze bosi una.....
 
malipo ya hako katempo kutoka kwa mkuu wako inaweza kuwa between ze legz ambayo uliibana. Mh NWY, watch very.
 
Habari jukwaa la starehe! Bwana me niko hapa kuwaambia senkyuu kwa maushauri yenu ktk post yangu ya mwisho..in dilema...! Mnaikumbuka? Nimemaliza field salama, matokeo yamekuwa poa, hakuna kijana alienipata kati ya wa3 waliokuwa wanatishia amani na elimu yangu na above all mkuu wa shule amenipa katempo mpaka nirudi chuo. UTU WANGU UMESITIRIKA NA ZAIDI STAF YOTE IMENISALUTE CUZ KILA MDADA ANAEKUJAGA HAPA LAZMA ALIWE ILA ME NIMEVUNJA MWIKO...! Idumu JF, zidumu fikra CHANYA ZA wana JF wote....!
<br />
<br />
Ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke, ndege mjanja hunaswa na tundu bovu. Chukua tahadhari usije uka fall kwa mbwia unga. Siku ukija kugundua ndio mko kwenye honey moon
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke, ndege mjanja hunaswa na tundu bovu. Chukua tahadhari usije uka fall kwa mbwia unga. Siku ukija kugundua ndio mko kwenye honey moon
<br />
<br />
haha Buji...
 
malipo ya hako katempo kutoka kwa mkuu wako inaweza kuwa between ze legz ambayo uliibana. Mh NWY, watch very.

Hata mimi naona kama vile kamtengo kanakaribia kunasa....Naamini atarudi hapa kutupatia mshindo nyuma (feedback)!!
 
malipo ya hako katempo kutoka kwa mkuu wako inaweza kuwa between ze legz ambayo uliibana. Mh NWY, watch very.
<br />
<br />
ameshindwa kupaingia kukiwa na kiangazi kwa sasa cdhani...ni mambo ya kujitambua tu fb
 
Angalia best maana kuna watu wana masafa ya mbali sana...ni kama draft tu...utaona unakula kumbe ni mtego mwisho wa siku wapigwa tutusa(waliwa kete 3).
 
Kusema kweli Sabry01 sijakupata kabisaa unataka kutupa ujumbe gani?
 
Akiliwa kwa hiari yaani kwa kupenda mwenyewe kuna ubaya gani? Sidhani kuwa yeye hataki mpenzi ila hakutaka wanaume wanaotumia cheo ili kumpata. Isitoshe sio lazima afukuzie hiyo ofa ya tempo aliyopewa. Anaweza kufanya kazi sehemu nyingine. Sababu ya kueleza kuhusu hiyo ofa ni kunyesha kuwa 'at least' alindoka kwa amani hapo shuleni. Nampongeza sana.
 
hebu tukumbushe ile mada yako uliotaka tukushauri na eleza kwa kifupi basi ulichukua uamuzi gani,
 
I hope u'r nt falling into another trap.. Hongera lakini kwa kuyashinda majaribu.
 
Back
Top Bottom