Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,440
- 45,715
Tatizo mtu anataka afungue biashara na apate faida mwaka wa kwanza tu
Biashara inataka uwekezaji wa maana ukifikiria je unaweza kumudu kodi miaka 3 ya kwanza? Na pia ukawa na stock ya uhakika?
Una bidhaa 10 kila bidhaa box 10 unajiita wholesaler really
Halafu humo humo uhonge na ulewe
Biashara sio kwa kila mmoja jamani
Wengine tumeanza kuziona tangu utotoni na kukua na hela na kuwa na urafiki wa karibu na hela
Yaani unahakikisha zinakuwa nyingi ili ziwe familia kubwa ya hela
Sasa kila ukiangalia zinapungua ujue wewe hela hazikupendi na wewe huzipendi period
Biashara inataka uwekezaji wa maana ukifikiria je unaweza kumudu kodi miaka 3 ya kwanza? Na pia ukawa na stock ya uhakika?
Una bidhaa 10 kila bidhaa box 10 unajiita wholesaler really
Halafu humo humo uhonge na ulewe
Biashara sio kwa kila mmoja jamani
Wengine tumeanza kuziona tangu utotoni na kukua na hela na kuwa na urafiki wa karibu na hela
Yaani unahakikisha zinakuwa nyingi ili ziwe familia kubwa ya hela
Sasa kila ukiangalia zinapungua ujue wewe hela hazikupendi na wewe huzipendi period