gidume
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 743
- 906
- Thread starter
- #41
Hapa kipindi nateseka juani..sio haba ilikua ukitoka asbhi saa zingine unarudi na laki 3..enzi za kutafuta uhuru..lakini tutaache yaliopita tugange yajayo..saivi naisubiria laki 4 kivulini kwenye air condition na uhuru nnao sbb sinyanyaswi na huyu boss wangu..naingia saa mbili nakula chakula cha ofisni narudi saa kumi na moja nyumbani naenda gym narudi nyumbani..na kunawili nimeshaanza …usinionee wivu kwa kufukua makaburi