gidume
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 743
- 906
- Thread starter
- #21
wakuu mim kuna kitu huwa kinanichanganya
asilimia kubwa ya wanaoacha kujiajiri na kwenda kuajiriwa ni nying kuliko wanaoacha ajira kwenda kujiajiri
ila ukitembea mtaa kwa mtaa utakuta nyumba za waliojiajir ni nying kuliko za walioajiriwa (hii imekaaje ilhali serikalin uhakika wa mshahara ni 100%) hata magari pia ni hvyo hvyo
sasa unajiuliz wengne wanafanyaje kufikia hapo na kila siku wao misemo yao ni "biashara ngum" ila wamejenga na wanazidi kuongeza mijengo
ikianzishwa thread ya kuajiriwa vs kujiajiri (upande wa kuajiriwa itakuwa na point nyng)
ukirudi kitaa waliojiajir weng wamewapiga gape walioajiriwa (japo sio wote)
hii imekaaje wadau
Biashara inahitaji kujibana..wengine hatujazoea maisha ya kujila ganji