Hatimaye nimerudi kwenye mshahara wangu wa laki 4 kwa mwezi

wakuu mim kuna kitu huwa kinanichanganya
asilimia kubwa ya wanaoacha kujiajiri na kwenda kuajiriwa ni nying kuliko wanaoacha ajira kwenda kujiajiri

ila ukitembea mtaa kwa mtaa utakuta nyumba za waliojiajir ni nying kuliko za walioajiriwa (hii imekaaje ilhali serikalin uhakika wa mshahara ni 100%) hata magari pia ni hvyo hvyo

sasa unajiuliz wengne wanafanyaje kufikia hapo na kila siku wao misemo yao ni "biashara ngum" ila wamejenga na wanazidi kuongeza mijengo

ikianzishwa thread ya kuajiriwa vs kujiajiri (upande wa kuajiriwa itakuwa na point nyng)

ukirudi kitaa waliojiajir weng wamewapiga gape walioajiriwa (japo sio wote)

hii imekaaje wadau

Biashara inahitaji kujibana..wengine hatujazoea maisha ya kujila ganji
 
Screenshot_20220331-224849_Chrome.jpg
 
Umefanya vizuri kurudi kazini baada ya Hussle ya muda kidogo, ila usifurahie kufeli biashara, tumia muda huo kufikiria wapi na nini kilikufelisha, save pesa kidogo kidogo then rudi tena kwenye biashara huku unafanya kazi.

Hamna biashara iliyosimama bila changamoto kama hizo
 
wakuu mim kuna kitu huwa kinanichanganya
asilimia kubwa ya wanaoacha kujiajiri na kwenda kuajiriwa ni nying kuliko wanaoacha ajira kwenda kujiajiri

ila ukitembea mtaa kwa mtaa utakuta nyumba za waliojiajir ni nying kuliko za walioajiriwa (hii imekaaje ilhali serikalin uhakika wa mshahara ni 100%) hata magari pia ni hvyo hvyo

sasa unajiuliz wengne wanafanyaje kufikia hapo na kila siku wao misemo yao ni "biashara ngum" ila wamejenga na wanazidi kuongeza mijengo

ikianzishwa thread ya kuajiriwa vs kujiajiri (upande wa kuajiriwa itakuwa na point nyng)

ukirudi kitaa waliojiajir weng wamewapiga gape walioajiriwa (japo sio wote)

hii imekaaje wadau
.............................Ungeendelea na utafiti wako kidogo ungegundua hao wenye hizo nyumba wengi wao elimu zao vichwani ni za kuunga unga.

Elimu ni nzuri tatizo lake kubwa inazubaisha akili ya mwenye nayo eg;ona hapa mtu anayejiita ana elimu anashangilia kulipwa 400K kwa mwezi,yaani hela ambayo asiye msomi anaikunja kwa siku au siku mbili yeye anashangilia kuipata baada ya siku 30 na samahani nyiingi na kujipendekeza huko ofisini.
 
Biashara sio rahsi Mzee , inahtaji ukaze hasa , hata kariakoo hapo watu wanalose lot of million every day, na ni wachache Sana wanaotoboa mixer na mauza uza kibao , we acha tu
 
Nina kibiashara nimefungua toka February 15,hakijaingiza chochote,mashine zinakufa kufa inabidi nizame kwenye akiba ninunue,wacha nikomae miez 6,kisipolipa narudisha frem,mashine zote naweka ghetto
 
Baada ya kupigika ndani ya miaka mitatu ya kuacha kazi niliyoona haina maslahi..kufungua biashara zikanishinda na kuzifunga nyingine kuziuza baada ya kuchoka kuumiza kichwa..

Nimerudi rasmi kwenye maisha ya mshaara wa laki nne kwa mwezi..uzuri nna gari yangu nilionunua baada ya kuuza biashara zangu..maisha sio shida kabisa..nimerudi kwenye nyumba ya bure kabisa,sijilipii matibabu nalipiwa na ofisi yangu pendwa nashkuru wamenipokea..

Tuacheni uongo biashara ni jambo lingine kabisa,asije akakushauri mtu uache kazi uingie kwenye ujasiliamali..biashara zina mambo mengiii hatari..nilipigika adi tsh 10 nilikua naiona kubwa..

Nashkuru sasa maisha yamenifunza nna adabu ofisini hapa sbabu najua nilipotokea..

Bahati mbaya sana nilishazoea maisha na ya udalali pia kwaiyo kule ilikua full kupigwa na jua kupambana na ela ukipata inaishia siku io io au kesho yake..

Hivyo mshaara nikipata hua unaisha ndani ya siku mbili alaf naanza ganga njaa au kuishi kimiujiza..ila nimeridhika kama ipo ipo tu siku moja mungu akiamua kunifungulia atafungua bila kutoa jasho kama nilivyotoa jasho kabla bila mafanikio yoyote..nakumbuka kuna njia nilikua sijawahi kupita ndani ya miaka lakini nilizipita..njaa nilikua nashinda hata siku mbili kwaiyo hamna kinachonitisha kwa sasa..

Tushukuruni sana hizi nafasi zetu mungu alizotupa..tusiziwekee kiburi wala kudharau na kujiona tunaweza kuliko wengine..maarifa ni muhimu sana kabla ya kufanya maamuzi ya haraka..

Wasalaam…
Ulipaswa ulie, na kwenda kutubu kwa kurudia matapishi yako. Mtu yoyote, aliyetia jembe lake kulima kisha akageuka nyuma hafai.
 
Ulipaswa ulie, na kwenda kutubu kwa kurudia matapishi yako. Mtu yoyote, aliyetia jembe lake kulima kisha akageuka nyuma hafai.

Nimeyarudia lakini nahisi bado yapo fresh kabisa kuingia tena kinywani…unaeniambia hivyo utadhani wewe una maisha mazuri kumbe unashinda mitandao ya kijamii..mwenzio saivi nmetosha kushika posho tayari ya weekend..na kesho hamna kazi..juzi nimepokea laki nne mfukoni
 
Back
Top Bottom