gidume
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 743
- 906
Baada ya kupigika ndani ya miaka mitatu ya kuacha kazi niliyoona haina maslahi..kufungua biashara zikanishinda na kuzifunga nyingine kuziuza baada ya kuchoka kuumiza kichwa.
Nimerudi rasmi kwenye maisha ya mshaara wa laki nne kwa mwezi..uzuri nna gari yangu nilionunua baada ya kuuza biashara zangu..maisha sio shida kabisa..nimerudi kwenye nyumba ya bure kabisa, sijilipii matibabu nalipiwa na ofisi yangu pendwa nashkuru wamenipokea.
Tuacheni uongo biashara ni jambo lingine kabisa, asije akakushauri mtu uache kazi uingie kwenye ujasiliamali..biashara zina mambo mengiii hatari..nilipigika adi tsh 10 nilikua naiona kubwa.
Nashkuru sasa maisha yamenifunza nna adabu ofisini hapa sbabu najua nilipotokea.
Bahati mbaya sana nilishazoea maisha na ya udalali pia kwaiyo kule ilikua full kupigwa na jua kupambana na ela ukipata inaishia siku io io au kesho yake.
Hivyo mshahara nikipata hua unaisha ndani ya siku mbili alaf naanza ganga njaa au kuishi kimiujiza..ila nimeridhika kama ipo ipo tu siku moja mungu akiamua kunifungulia atafungua bila kutoa jasho kama nilivyotoa jasho kabla bila mafanikio yoyote..nakumbuka kuna njia nilikua sijawahi kupita ndani ya miaka lakini nilizipita..njaa nilikua nashinda hata siku mbili kwaiyo hamna kinachonitisha kwa sasa.
Tushukuruni sana hizi nafasi zetu mungu alizotupa..tusiziwekee kiburi wala kudharau na kujiona tunaweza kuliko wengine..maarifa ni muhimu sana kabla ya kufanya maamuzi ya haraka.
Wasalaam…
Nimerudi rasmi kwenye maisha ya mshaara wa laki nne kwa mwezi..uzuri nna gari yangu nilionunua baada ya kuuza biashara zangu..maisha sio shida kabisa..nimerudi kwenye nyumba ya bure kabisa, sijilipii matibabu nalipiwa na ofisi yangu pendwa nashkuru wamenipokea.
Tuacheni uongo biashara ni jambo lingine kabisa, asije akakushauri mtu uache kazi uingie kwenye ujasiliamali..biashara zina mambo mengiii hatari..nilipigika adi tsh 10 nilikua naiona kubwa.
Nashkuru sasa maisha yamenifunza nna adabu ofisini hapa sbabu najua nilipotokea.
Bahati mbaya sana nilishazoea maisha na ya udalali pia kwaiyo kule ilikua full kupigwa na jua kupambana na ela ukipata inaishia siku io io au kesho yake.
Hivyo mshahara nikipata hua unaisha ndani ya siku mbili alaf naanza ganga njaa au kuishi kimiujiza..ila nimeridhika kama ipo ipo tu siku moja mungu akiamua kunifungulia atafungua bila kutoa jasho kama nilivyotoa jasho kabla bila mafanikio yoyote..nakumbuka kuna njia nilikua sijawahi kupita ndani ya miaka lakini nilizipita..njaa nilikua nashinda hata siku mbili kwaiyo hamna kinachonitisha kwa sasa.
Tushukuruni sana hizi nafasi zetu mungu alizotupa..tusiziwekee kiburi wala kudharau na kujiona tunaweza kuliko wengine..maarifa ni muhimu sana kabla ya kufanya maamuzi ya haraka.
Wasalaam…