Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,460
Nilijiandikisha na kupiga picha November 2017 leo ndiyo namba imetoka na nasubiri kitambulisho kitoke.
Ila hawa NIDA sijui wanakwama wapi mbona NEC 2014 ilikuwa faster unapata? Ngoja nikafukuzie passport, naambiwa muziki wake si wa kitoto.
Ila hawa NIDA sijui wanakwama wapi mbona NEC 2014 ilikuwa faster unapata? Ngoja nikafukuzie passport, naambiwa muziki wake si wa kitoto.